kuzaa watoto wengi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mzee wa makamo

    Kwanini watu wenye kipato cha chini wanaongoza kuzaa watoto wengi?

    Kwa utafiti wangu ndogo nimeona hii kitu ya kuzaa watoto wengi na umaskini(kipato kidogo) sijui ina uhusiano gani na kipato. Naombeni msaada kwa anaye jua
  2. B

    Kuna uhusiano gani? kati ya kuzaa watoto wachache na utajiri versus kuzaa watoto wengi na umasikini

    Kwenye kundi la kuzaa watoto wengi naomba tuwatoe wazee wetu waliozaliwa 1950's maana wao kulikuwa na mashamba ya kukidhi mahitaji Tujadili kuhusu kizazi cha 1960's-2024's 👉Aslimia kubwa ya wengi wanaomiliki mali wanaishia kuzaa watoto maximum watatu ni u-busy?, uoga wa kuwagombanisha watoto...
  3. GENTAMYCINE

    Huyu ndiyo Mwanaume wa Shoka: Aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya Geita afariki na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10

    Mamia ya wananchi wameshiriki maziko ya aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya mji wa Geita, Peter Kulwa (67) aliyefariki dunia Juni 13, 2024 na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10. Kwa mujibu wa risala iliyosomwa na mjukuu wake, Makutano Sadick, diwani huyo alianza kuugua kisukari...
Back
Top Bottom