kuzuia mimba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Je ni Kweli mwanamke akitumia sindano za kuzuia mimba, zinaweza kukausha mayai ya uzazi?

    wana jamii ushauri wenu kwa ufupi..... baby mama wangu ameenda hospitali kubwa ya nchi... Kuangalia kwanini hashiki mimba.. Hapo nyuma alikuwa anatumia sindano za uzazi kuepusha kushika mimba.. Sasa daktari amemwambia inawezekana mayai yake yamekaushwa na hizo sindano ...Hivyo inabidi kufanya...
  2. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Ni kweli kwamba Flagly (Metronidazole) ile ya njano inazuia mimba kuingia?

    Heshima kwenu nyote Ni wazi kuwa sie wabongo ni watu wa kujaribu vitu hata vile tusivyo visomea. Nitaweka baadhi ya dawa(vidonge) ambavyo vinatibu ugonjwa fln lakni Kwa ujuaji wa kibongo vidonge hivo hutumika Kwa matumizi mengine na kuleta manufaa. Baadhi ya vidonge Hivi ni kama(sitatumia...
Back
Top Bottom