Leo hii nimeamua, kushika kalamu kuandika hili kwamba wafanyabiashara wadogowadogo waliopo Mbezi wanapata kadhia sana kwenye kufanya shughuli zao za kila siku, ila wenye taabu kubwa ni wafanyabiashara wa ice cream (ukwaju) wanapata kadhia wakiwa katika stendi ya daladala ya juu kutoka kwa...
Anonymous
Thread
askari kuonea raia
changamoto za biashara
haki za kufanya biashara
kadhia kwa wafanyabiashara mbezi
kuzuiawafanyabiashara
suma jkt