Kwanza nikupongeze sana OC-CID wilaya ya Bunda kwa ulivyopambana na uhalifu na pongezi zaidi kuuzima uhalifu wa kutumia pikipiki ulioanza kuchukua nafasi hivi karibuni nyakati za usiku. Kiukweli katika historia ya viongozi wachapakazi wa jeshi la polisi wilaya ya Bunda utakumbukwa.
Sasa...