laana ya familia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Chanzo cha laana ya watu wa ukoo wenu kufa mapema kabla ya Uzee. Ukoo wenu kukosa wazee

    CHANZO CHA LAANA YA WATU WA UKOO WENU KUFA MAPEMA KABLA YA UZEE. UKOO WENU KUKOSA WAZEE. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Kuna baadhi ya familia au koo ni Jambo la kawaida watu Kufa kabla ya Uzee. Yaani unakuta asilimia tisini ya watakaozaliwa kwenye familia au ukoo huo watakufa wakiwa chini...
  2. T

    Baraka na laana katika ndoa

    Karibu binti na mwana wa Afrika. Moja ya maeneo ambayo yanasumbua na kutesa watu, ni mahusiano, hasa katika mapenzi au ndoa. Kujiua, kuuwa, kukata tamaa, uraibu, ulevi, uzinzi, roho mbaya, utapeli, wizi, uongo, na maovu mengi husababishwa na Mahusiano au ndoa. Hakuna siku itaisha na...
  3. T

    Laana ya familia

    LAANA YA FAMILIA. Karibu binti na mwana wa Mama Afrika. Mtu au Familia Fulani zina laana au mikosi fulani ambayo, ukiifuatilia unaweza gundua ni jambo la kurithi au la kizazi na kizazi. Pengine linaweza kuonekana ni jambo la kawaida sababu huwa lazima limkute au limtokee yeyote au mtu fulani...
Back
Top Bottom