Karibu binti na mwana wa Afrika.
Moja ya maeneo ambayo yanasumbua na kutesa watu, ni mahusiano, hasa katika mapenzi au ndoa.
Kujiua, kuuwa, kukata tamaa, uraibu, ulevi, uzinzi, roho mbaya, utapeli, wizi, uongo, na maovu mengi husababishwa na Mahusiano au ndoa.
Hakuna siku itaisha na...