lady jaydee

Judith Wambura Mbibo (born 15 June 1979), known by her stage name Lady Jaydee also referred to as "Lady JayDee in town" or "Lady Jay Dee", is a Tanzanian singer. She specializes in the R&B, Zouk and Afro Pop genres. Lady Jaydee was voted Best Tanzanian Female R&B Artist in 2002, performed at the Kora All Africa Designers Competition, and was awarded "Best R&B Album" at the Tanzania Music Awards on 6 August 2004. In July 2005, she won an award for "best female video for South Africa". She was among the first females to sing R&B in Swahili. Lady Jaydee is signed to one of Africa's most successful music labels, Taurus Musik. She is also known as the Queen of Bongo Flava (Tanzanian Music).

View More On Wikipedia.org
  1. Mi mi

    Alikufa kwa ngoma

    Alikufa kwa ngoma.
  2. Mejasoko

    Lady Jaydee mwimba Chorus Bora wa kike kupata kutoka Tanzania na Afrika Mashariki na Kati, tumuite ndio Hip Hop Soul Queen wa Bongo?

    Uzuri sauti yake inambeba kuingia kwenye mifumo ya genre nyingi na content tofauti za muziki Nyimbo alizoua Chorus na kishirikishwa 1.Bongo DSM na Prof Jay 2. Alikufa Kwa Ngoma na Fa 3. Machoni Kama watu Na Ay 4. Nyaluland na Mike T 5. Ama zangu Ama zao na Gk&ECT 6. Sikiliza Na Ngwea 7. Hawajui...
  3. sinza pazuri

    Naufunga mjadala: Zuchu ni mwandishi bora wa nyimbo kuliko Lady Jaydee

    Kwenye pen game hakuna msanii wa kike wa bongofleva amewahi kufikia uwezo wa Zuchu toka bongofleva izaliwe nasema hakuna. Jide ni msanii mkali, anauwezo mkubwa kafanya hitsong nyingi namheshimu kwa ilo ila huu mjadala nimeuona uko kuwa Jide anaweza andika kumzidi Zuchu haupo sahihi. Jide ni...
  4. W

    Joto Hasira- Lady Jaydee ft Prof Jay

    Chorus: Hili joto hasira, ambaa Upepo hakuna Ambaa, naruka mwenyewe Yelela, yelela, ambaa. Foleni njia nzima, ambaa Na pesa hakuna Ambaa, naruka mwenyewe Yelela, yelela, ambaa VERSE 1: siku nimenuna Kwanini tunagombana Tena tunakosoana, kama tumechanganyikiwa Na sioni hata maana Ya si...
  5. lara 1

    GADNER IS ONE TRUE HERO! Sio wanaume wote wenye ujasiri wa kulikabili Comandoo Ndii ndiii

    Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kabla hamjaanza ooh wewe mtetezi wa wanawake inakuwaje naomba nitoe kauli "SIFURAHII WALA SIUNGI MKONO ALICHOKISEMA CAPTAIN HATA NUKTA ila pamoja na yote ukiacha huko ulimi kumteleza mimi in the all sagger...
  6. GENTAMYCINE

    Mlionitukana Na Kunidhihaki Kuhusu Taarifa ya Gadner Niombeni Radhi

    Tarehe Moja Nilipoandika UZI Humu TENA Nikijiamini Kabisa Kama Kawaida Yangu Wapo Walionijibu Kwa KUNITUSI, KUNIKEBEHI Na Hadi KUNIDHALILISHA Na Bahati Nzuri Sana Hata Posts Zao Zipo Katika Ule UZI Kuwa Gadner G. Habash Anarudi Rasmi Clouds Media Group Nikimaanisha Kuwa Mtangazaji Wa Clouds FM...
  7. GENTAMYCINE

    Gadner G. Habash arudi rasmi Clouds FM

    Ni Kwamba Muda Si Mfupi Mtangazaji Wa Zamani Wa Clouds FM Gadner G. Habash Ambaye Baadae Hadi Hivi Sasa Alikuwa Akitangaza Kituo Cha Redio Cha E FM Ametoka Kumalizana Na Uongozi Wa Clouds Media Group Na Kwamba Sasa Ni RASMI Kuwa Kuanzia Jumatatu Ijayo Atakuwa Akitangaza Katika Kipindi Cha...
  8. warumi

    Mgao wa mali za Jide, Gadner 'UTATA'

    HALI tete ! Bado vuguvugu la madai ya kuvunjika kwa ndoa ya mtangazaji mahiri Bongo, Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘ Kapteni’ na Mbongo Fleva , Judith Daines Wambura Mbibo ‘ Lady Jaydee au Jide ’ , sasa lingine limeibuka ambapo mali za wawili hao zinatajwa kuzua utata , Risasi Jumamosi...
  9. Pdidy

    Jide na Gadner acheni hizooo!

    Mhhhh wamependeza sana sana kwanza napenda kuwapa hongera baada ya hapo nimeshangaa mmejitahidi kuelzea vyakula mlivyokuta na picha za menu...mbona hamjawahi kupiga picha zile pweza za feri jamani na umuhimu wake katika jamii hamuoni mnatangaza soko la watu wakati kwenu wanakimbia....haya...
Back
Top Bottom