The Long Lake oil sands upgrader project is an in situ oil extraction project near Anzac, Alberta, 40 km (25 mi) southeast of Fort McMurray in the Athabasca oil sands region of Alberta.
The project is owned and operated by CNOOC Petroleum North America, formerly known as Nexen.Long Lake is an integrated steam-assisted gravity drainage (SAGD) site which produced 41,000 barrels per day (6,500 m3/d) of bitumen in 2017. The project used proprietary OrCrude technology as well as hydrocracking and gasification to produce Premium Synthetic Crude (PSC) oil, with a production capacity of approximately 58,500 barrels per day (9,300 m3/d), however the upgrader was shut down following a 2016 explosion.
Kampuni ya Mafuta ya Lake Oil zamani sasa Lake Energies, inafukuza wafanyakazi wake kiholela bila kufuata sheria za kazi.
Mtumishi anaondolewa kazini bila kupewa barua yoyote ile wala kulipwa Stahiki zake za msingi na hata mishahara ya mwezi husika aliokuwepo kazini.
Ndani ya mwaka huu...
Anonymous
Thread
kufuata sheria
lakeoiloil
sheria za kazi
wafanyakazi
Leo ninataka tu Kumjua huyu mwenye hii Kampuni ya Mafuta ya Lake Oil mahala fulani (nimepasahau kwa sasa) kwani Stabex ni ya Rais Ruto na Rubis ni ya Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta.
Baada ya malalamiko ya muda mrefu ya Wakazi wa Kawe katika Wilaya ya Kinondoni, hatimaye Kituo cha Mafuta cha 'Lake Oil' kilichokuwa kimejengwa karibu kabisa na makazi ya watu kimeanza kubomolewa.
Kituo hicho kilichokuwa karibu pia na stendi ya daladala ya Tanganyika Packers kilikuwa...
Imekuwa ni kawaida kila inapokaribia wiki ambayo bei mpya ya mafuta hutangazwa, vituo pendwa vinavyomilikiwa na wanasiasa maarufu, hudai hawana mafuta kungojea bei mpya. Hii huwa ni dalili ya kupanda kwa bei ya mafuta.
Swali la kujiuliza wanajuaje mapema kuwa mafuta yatapanda bei? Huu mtandao...
Wakuu heshima kwenu, kwa muda sasa toka Corona ianze nimekuwa nasafiri na kibaby walker changu popote ninapoenda and huwa nasafiri mikoa mbalimbali hapa TZ Bara na kila mkoa lazima nisimame kuweka wese.
Sasa nilichogundua kwa tz nzima lake oil mafuta yao hawazidi 2500 wakati vituo vingi vinauza...
Wanabodi kuna hii Taarifa nimeiona Kwenye media zingine ikisema Shirika la Mazingira Nchini NEMC Limeitoza Kampuni ya Lake Oil Fine ya Tsh Bil 3.3 kwa kujenga vituo vingi sehemu tofauti za Nchi bila Kibali.
Hili limekua kama mshituko hasa kwa kuzingatia ukweli kwamba suala la mipango miji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.