lakha

Lakha Singh (1382 – 1421) was the third Maharana of the Mewar Kingdom. He was the son of Maharana Kshetra Singh and ruled from 1382 until his death in 1421, when he was killed in battle.
Lakha was married several times and had at least eight sons. His son Mokal Singh by his wife Hansa Bai of Mandore (now in Jodhpur) became the fourth Maharana in 1421. During his reign, Lakha took the remaining Mewar territories from Delhi. His eldest son Chunda took oath to safeguard his motherland against all external powers who were trying to overpower the Mewar state in the exchange of his father's marriage to Rani Hansa Bai. After having some misunderstanding with Rani Hansa Bai and Rao Ranmal (brother of Rani Hansa Bai) Rana Chunda left the Chittorgarh fort and went to fort Begu in Chittorgarh district and ruled there himself. The followers of Chunda are known as Chundawats.

View More On Wikipedia.org
  1. Pascal Mayalla

    Wakili Pasco-A True Story of My Life: Nilitamani kuwa Wakili sababu ya Wakili Murtaza Lakha, sasa ni Wakili. Je, nitakuwa kama Lakha? Part III-Final

    Wanabodi, Mwendelezo Kwa wasomaji wapya this is a true story of my life, nilitamani kuwa wakili kwa sababu ya Wakili Murtaza Lakha toka mwaka 1976, hatimaye sasa nimekuwa wakili, jee nitakuwa kama Lakha?. Wiki iliyopita, tuliishia Baba Mzee Andrew Mayalla ni miongoni mwa washtakiwa wa Kesi ya...
  2. Pascal Mayalla

    Wakili Pasco Mayalla -A True Story of My Life: Nilitamani kuwa Wakili sababu ya Wakili Murtaza Lakha, sasa ni Wakili. Je, nitakuwa kama Lakha? Part II

    Wanabodi, Nipashe ya leo, Story Inaendelea... Kwa Wasomaji wapya, hii ni stori ya safari yangu ya ndoto ya kuwa wakili, iliyonichukua iliyoanzia Mwanza mwaka 1976 takriban miaka 45 iliyopita, hatimaye nimekuwa wakili mwaka huu, hivyo kujiuliza jee sasa, bado naweza kuwa kama Wakili Murtaza...
  3. K

    Kesi ya Mbowe isizuiwe watu kutaarifiwa

    Jana dunia nzima ilifaidi kesi ya Mbowe na hata Jaji alisema ana taarifa kwamba proceedings za kesi hiyo zinataarifiwa mitandaoni. Tulifaidi RPC wa Kinondoni alivyhojiwa na Advocate Kibatala hadi akaomba kwenda kukojoa. Jioni watu wakanusa mkakati wa kukatazwa kuingia na simu, siyo Mahakama...
  4. J

    Kesi ya Mbowe inanikumbusha mbwembwe za Wakili msomi Lakha katika kesi ya Uhaini miaka ile ya 1980s

    Kesi ya Ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe itakuwa ni darasa zuri la Sheria kwa wanaopenda kujifunza kwa njia ya vitendo siyo nadharia. Sisi wahenga tulijifunza mengi katika kesi ya Uhaini iliyowakabili hawa akina Hans Pope wa Simba na wenzake waliotuhumiwa kutaka kumpindua Rais...
Back
Top Bottom