Lamine Yamal ni kijana mdogo tu wa miaka 17 sasa, ambaye tayari ameshajipatia umaarufu mkubwa kutokana na kipaji chake cha kusakata soka, ni mchezaji tegemeo Barcelona na pia juzi juzi tu ameshinda tuzo ya mchezaji bora chipukizi katika michuano ya Euros akiiwakilisha Hispania.
Bahati mbaya...