land rover

Land Rover is a British brand of four-wheel drive cars, that exclusively offers premium and luxury sport utility vehicles. Owned by multinational car manufacturer Jaguar Land Rover (JLR), which has been owned by India's Tata Motors since 2008, JLR currently build Land Rovers in Brazil, China, India, Slovakia, and the United Kingdom.
The Land Rover name was originally used by the Rover Company for a boxy four-wheel drive, off-road model, launched in 1948—now known as the Land Rover Series, it is today regarded as a British icon. It was granted a Royal Warrant by King George VI in 1951, and 50 years later, in 2001, it received a Queen's Award for Enterprise for outstanding contribution to international trade.Over time, Land Rover grew into its own brand (and for a while also a company), encompassing a consistently growing range of four-wheel drive, off-road capable models. Starting with the much more upmarket 1970 Range Rover, and subsequent introductions of the mid-range Discovery and entry-level Freelander line (in 1989 and 1997), as well as the 1990 Land Rover Defender refresh, the marque today includes two models of Discovery, four distinct models of Range Rover, and after a three-year hiatus, a second genaration of Defenders have gone into production for the 2020 model year—in short or long wheelbase, as before.

View More On Wikipedia.org
  1. Brown B

    Car4Sale Land Rover Range Rover Vogue 2015

    Price: 150M Land Rover Range Rover Vogue 🔥 Year : 2015 Cc : 3.0 Diesel TDV6 Colour : Santorini Black Cream Leather Interior 🔥 Mileage 31,000miles 📌Electric Side Steps 📌Winker Mirrors 📌Panoramic Sunroof 📌Cream Interior 📌Auto Boot ☎+255626682228
  2. Money Bags

    Land Rover Defender 110 (Mwaka 2000 - 2002) Inatafutwa

    Kwema Wadau Inatafutwa Ya Kununua Land Lover Defender 110 Engine 200 tdi or 300 tdi (Diesel) Year 2000 - 2002 Double Cab Would Be More Likely But Not Limited Mnunuzi yupo Dar es Salaam Budget TZS M 20 - M 25 Depending Na Condition Yake Ni Kwa Matumizi ya kawaida tu hapa mjini na safari...
  3. Mhaya

    Guiness World Records wagoma kutambua rekodi ya Land Rover Festival ya Tanzania

    Kwa jinsi wachuganistan walivyojiandaa na Land Rover Festival, na jinsi Media zilivyosapoti tukio hili zito, ni jambo la kushangaza kwamba Guiness World Records wameshindwa kutambua rekodi hii iliyovunjwa na watu wa Arusha, ya msafara wa magari zaidi ya 1000. Mpaka hivi sasa hawajazungumza...
  4. Cute Wife

    Pre GE2025 Rais Samia ampa Sheikh wa Arusha Land Rover Discovery limsaidie kwenye shughuli za kidini. Hii si Rushwa kabisa?

    Wakuu, Nawaacha mtoe mapovu, mambo ndio kama haya, Sheikh amepewa land rover bana likamsadie kwenye kutoa huduma zake.... Hii si rushwa kabisa? Tusubiri 'zawadi' hizi ziendelee kutolewa kwa viongozi wengine wa dini. Tunataka uchaguzi ufanyike kila mtu akiwa na fursa sawa ya kushindana, kwa...
  5. M

    Mliokuwepo kwenye msafara wa Land Rover, 109 ilikuwepo?

    Nauliza tu mliokuwepo kwenye msafara wa land Rover Arusha, hii gari one zero namini ilikuwepo gari Moja imara sana, ila lazima uwe fundi ikutumia hii gari nauliza ili mwakani nitoe juu ya mawe nami nije
  6. M

    Ni zipi faida zilizopatikana kwa kufanyika kwa Arusha Land Rover Festival 2024

    Ninajua faida ndogondogo zipo, kama biashara za Mahoteli nk. Lakini ningependa kujua ni ipi faida kubwa kwa Mkoa na Taifa kiujumla.
  7. Pang Fung Mi

    Tahadhari: Makonda aweke bayana waasisi wa wazo la Land Rover Festival isije ikatokea akajizolea misifa huku technocrats wa hilo wazo wakaachwa bila

    Kwenye jamii za watu hapakosi viongozi wapenda misifa wasiojali kuthamini bidii na akili za wasaidizi wao, nimewiwa kutoa tahadhari kwa Paul Makonda a.k.a DAB Kolomije, imekuwa kama utamaduni viongozi wenye hulka za misifa misifa kuwasahau wabunifu na wachakata mawazo mazuri yanayopata vibes...
  8. Lord denning

    Serikali: Toeni tamko Land Rover Festival liwe tukio rasmi la kufanywa kila mwaka kama tukio kubwa zaidi la kiutalii kwa Kanda ya Kaskazini

    Ubunifu ndo bidhaa adimu zaidi kwa sasa duniani ambayo endapo utaitumia vizuri unaweza kujihakikishia una survive vizuri katika dunia hii ya ushindani mkubwa. Kwa miaka mingi, Tanzania imekuwa ikisemwa kuwa na vivutio vingi ikiwemo rasilimali, mbuga, wanyama ila kwa bahati mbaya haijaweza...
  9. Abdul Said Naumanga

    Land Rover Festive Arusha 2024

    (VIDEO ipo chini) Tamasha la Land Rover 2024 ni tukio la kipekee linalofanyika kwa mara ya kwanza nchini Tanzania, katika viwanja vya Magereza Grounds, Kisongo, jijini Arusha. Tamasha hili litafanyika kuanzia Oktoba 12 hadi Oktoba 14, 2024, na limeandaliwa na Mhe. Paul Makonda, likilenga...
  10. GENTAMYCINE

    Je, Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere angependa tuwe na Tamasha na Land Rover Arusha au tupambane zaidi na Maadui wakuu wa nchi aliowataja?

    Halafu wenye Akili Kubwa tukisema kuwa Tanzania ya sasa huenda ikawa na Viongozi Wehu zaidi mnaanza Kuchukia.
  11. Yoda

    Kinachofanyika Arusha Ni Land Rover Parade, sio Land Rover Festival

    Festival ni maadhimisho yanayoadhimishwa kila msimu na ambayo huwa yanaendana na utamaduni wa jamii fulani hasa yakiendana zaidi na dini, sanaa au mtindo wa maisha wa muda mrefu, mfano mzuri ni Diwali Festival, Halloween, Oktoberfest, Rio Carnival, Sauti za Busara n.k Kinachofanyika huko...
  12. Mindyou

    Makonda: Kesho kama huna gari aina ya Land Rover, baki tu nyumbani!

    Wakuu, Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani. Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari...
  13. Waufukweni

    LGE2024 Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe

    Uandikishaji kwenye Daftari la Wapigakura wa Serikali za Mitaa umeanza rasmi leo, tarehe 11 Oktoba, 2024, na utaendelea hadi Oktoba 20, 2024. Hatua hii inampa fursa kila Mwananchi mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 27...
  14. Waufukweni

    Team Land Rover wapita Mwenge kwa Mbwembwe kuelekea Arusha kwa Makonda kwenye Land Rover Festival

    Mambo vipi Wakuu! Team Land Rover wako njiani kuelekea Chuga wakitokea Dar es Salaam, na hivi ndivyo walivyopitia Mwenge, kuelekea Arusha ambako wanataka kwenda kuandika historia Jumamosi hii kwenye tukio la Land Rover Festival 2024, tamasha la kwanza la aina yake katika viwanja vya Magereza...
  15. M24 Headquarters-Kigali

    Bajeti ya Land Rover festival Arusha inatoka kwenye fungu gani la bajeti?

    Gharama za Land rover festival Arusha zinatoka kwenye fungu gani kwenye bajeti? Media, kwenye speeches hiyo festival inatajwa kama vile ni jambo la kipaumbele zaidi kuliko Afya, Elimu, barabara na maji. Kipaumbele vyetu Kwa sasa ni Festivals?
  16. Q

    Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia

    https://www.youtube.com/live/SVGXG6yMBgM Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara Tundu Lissu amezungumza hayo mbele ya wanahabari leo, Jumatano Septemba 25.2024, jijini Dar es Salaam Kiongozi wa kikosi cha mauaji dhidi yangu mwaka 2017 alikuwa Paul Makonda. Aliwaongoza wauwaji walionipigia...
  17. Mohamed Said

    Land Rover ya Sugal Mohamed iliyomtorosha Nyerere asikamatwe

    MZEE SUGAL MOHAMED ALIVYOMTOROSHA MWALIMU NYERERE ASIKAMATWE NA MAKACHERO na Guled Issa Mzee Sugal Mohamed ni moja ya majina ya mashujaa yanayopaswa kuingia katika historia ya mashujaa waliojitolea katika kuwakinga viongozi wa harakati za uhuru wasidhalilishwe na wakoloni wakati wa kupigania...
  18. C

    Land Rover Discovery 3 Vs Subaru Forester XS

    Wakuu nakuja humu kuomba wataalam kunipa ushauri Nina Subaru Forester XS 2.5 ya 2009 nataka kuiuza nihamie Land rover Discovery 3 ya 2005. Je wenye uzoefu wa Discovery 3 Hali ipoje Kwa spea, mafundi?
  19. Mukulu wa Bakulu

    Kwanini pamoja na kuwa Land Rover ni kampuni ya kiingereza lakini magari yake sio maarufu Uingereza?

    Land Rover ni kampuni ya Uingereza, Land Rover ndio hutengeneza magari kama Range Rover, Discovery nk lakini kwenye taarifa ya Serikali magari ya kampuni hiyo hayako hata kwenye top 20 ya magari yanayopendwa Uingereza. Angalia taarifa hii ya Mwezi December 2022, kwenye category zote za Pure...
  20. Rubo Motors Tanzania

    Kwa mahitaji ya kuagiza magari kutoka Japan,Dubai,na UK, tuone "Rubo Motors

    Hasa kwa watu wa Kanda ya Ziwa na mikoa Jirani. Kwa mahitaji ya kuagiza magari kutoka Japan,Dubai,na UK, tuone "Rubo Motors Tanzania" magari tuagizayo ni Fuso, Canter,Hino,Isuzu,Rosa bus,Coaster,Nissan,na magari madogo ya kutembelea. Malipo ni awamu mbili. ambayo ni malipo ya awali na malipo...
Back
Top Bottom