landrover

  1. M

    Landrover freelander 2

    Wadau nataka kujitupa kwenye hio chuma naombeni ushauri wenu nataka nichukue ya mwaka 2014 yanye engibe code 204PT ina km 110k
  2. F

    Landrover festivals ni ubunifu wa watu wa Arusha na sio ubunifu wa Paul Makonda, wazo lilikuwepo kabla ya 2020

    Wafanyabiashara na matajiri wa Arusha wamekuwa na ari na ubunifu mkubwa ila mara nyingi wamekosa sapoti ya Serikali. Landrover Festivals zilizofanyika hivi majuzi ni moja ya bunifu nyingi za watu wa Arusha na Moshi ambazo kwa muda mrefu zimekosa kuungwa mkono kwasababu za kisiasa. Wanasiasa...
  3. LandRover Festival 2024 rasmi imevunja rekodi ya Mjerumani

    Tamasha la Land Rover limefanyika kwa mara ya kwanza nchini Tanzania mkoani Arusha leo 12 Oktoba 2024. Arusha ni kitovu cha utalii Afrika Mashariki zaidi ya magari 1,000 ya Land Rover yamehudhuria tamasha hilo, huku zaidi ya watu 2,000 wakikuhudhuria ufunguzi na kushiriki tukio hilo. Guinness...
  4. Polisi Arusha wataja njia zitakazotumika katika Tamasha la Land Rover, usalama waimarishwa

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kupitia kikosi cha Usalama Barabarani wametaja barabara zitakazotumika katika tamasha la Landrover litakaloanza kuanzia Oktoba 12, 2024 Mkoani Arusha huku likisema limejipanga vyema kuhakikisha linafanyika kwa amani na utulivu. Akitaja njia hizo Mkuu wa Kikosi cha...
  5. Arusha LandRover festival set to break World Record!

    Let us all stay tuned! Arusha Region is an iconic Tanzania Tourist attraction City in Africa which is located about 350 kilometers to The famous Serengeti National Park. The Regional Authority Under Paul Makonda has organized a tremendous and spectacular brand of Land Rover caravan ..a parade...
  6. Car4Sale Nauza magari ya aina mbalimbali

    Bei/Price🏷️: TSH 120M Call 📞0747 999 927 TOYOTA HARRIER Year: 2021 Engine: 1990Cc Mileage: 19,498 Transmission: AUTO ✅All Duty Paid ✅Free Registration ✅Exchange Possible
  7. N

    Scania, Heavy equipment na Landrover kutoka UK

    Nina anzisha huu maalumu kwa mtu yoyote anayetafuta vitu kutoka UK. Hasa magari makubwa(HGVs), heavy equipment, agricultural equipment na magari madogo kama Range Rover, for a reasonable price but good condition. Nina heshimu siri za mteja(customer confidentiality) Contact: WhatsApp +44...
  8. Landrover Discovery na Majanga ya Moto

    Salaam Wadau, Kama kichwa kinavyojieleza, kumekuwa na mfululizo wa hayo Magari kwa hapa Bongo(TZ) kuteketea kwa Moto(Kuungua). Tatizo ni nini? Binafsi nimepoteza sana Mvuto na hayo Magari. Wataalam kina JituMirabaMinne toeni maoni.
  9. Athari za kutoa masega kwenye gari (catalytic converter)

    Bila Catalytic Converter kuna sumu zinazotoka kwenye moshi ambazo zitakuwa zinaingia kwenye hewa. Sumu hizo hazifanani kulingana na aina ya engine, Engine za petrol hutoa Hydrocarbons, Carbon monoxide pamoja na Oxygen gas. Engine za Diesel hutoa NOX, Oxygen gas pamoja na Carbon dioxide...
  10. M

    Landrover 09 (marufu rover ya Nyerere) na land rover discovery za sasa wapi watengenezaji wanakosea nahisi kutafta tena 09

    Nipo tayari kuitwa mshamba, nimezaliwa nimeikuta landrover 09 na hadi Leo IPO kule kijijini, lakini landrover discovery, defender ni mbovu sana trip pori trip gereji wapi watengenezaji wanakosea sasa, kifupi napenda brand najiona kutafta rover 09 tena siku za usoni, wapi ntakuwa nimekosea
  11. K

    Nahitaji Landrover Diffender used kwa ajili ya kununua-hata kama imepaki

    Please nahitaju kununua Landrover Diffender iliyotumika, kama kuna mwenye nayo anirushie picha kisha tuongee biashara
  12. D

    Land Rover Discovery 4 - Ikoje hii gari, naomba uzoefu na ufafanuzi wake

    Naihusudu sana Discovery 4 angalau kwa muonekano na chapa yake ya Land Rover, japo nikiri sijawahi kuiendesha hivyo siijui kivile. Kama walivyo watu wengi wa ukanda wa Afrika Mashariki, tumekuwa tuikitumia magari ya mjapani haswa haya yaliochini ya kampuni iliyoanzishwa na Bwana Kiichiro...
  13. Nanunua Land Rover TDI

    Nanunua landrover TDI za zamani hata Namba A ,Burget yangu Tshs 1.5 - 4 milion integemeana na hali ya gari husika ,iwe tu inatembea mengine INBOX Asante
  14. Ooh Landrover, I love you so much

    Ni wachache sana tunazielewa hizi mambo na utamu wake. Kwa wale ambao magari ni adventurous implement tunaelewana. NAOMBA PORI NIENDE
  15. Nahitaji engine ya LandRover 110 - 300 series

    Wakuu, salaam!!!.. Ninahitaji engine ya Landrover 110 - 300 Series. Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790 Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni moja na nusu (1,500,000/=) Shukrani.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…