landroverfestival2024 .

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    LandRover Festival 2024 rasmi imevunja rekodi ya Mjerumani

    Tamasha la Land Rover limefanyika kwa mara ya kwanza nchini Tanzania mkoani Arusha leo 12 Oktoba 2024. Arusha ni kitovu cha utalii Afrika Mashariki zaidi ya magari 1,000 ya Land Rover yamehudhuria tamasha hilo, huku zaidi ya watu 2,000 wakikuhudhuria ufunguzi na kushiriki tukio hilo. Guinness...
  2. Mkalukungone mwamba

    Arusha: Tazama balaa la msafara mrefu wa magari ya LandRoverFestival2024

    Leo tunatambua huko Arusha kuna jambo kubwa ambalo limeandaliwa na Serikali ya Mkoa huo chini ya Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ambalo ni LandRoverFestival2024 . Sasa hapa jitazamie mwenyewe namna msafara mkubwa ulivyofunga barabara za kuelekea viwanja vya Kisongo magereza. Soma Pia: Polisi...
Back
Top Bottom