Habari za muda huu wanaJF? Natumaini mnaendelea vizuri.
Huwa kuna malalamiko, wananchi kuilaumu serikali miundo mbinu na huduma ni mbovu. Hata mimi ni mmoja wapo kwa baadhi ya mambo lakini jinsi yalivyo off key. Ila mimi ni kwa wahudumu. Kiufupi ni kuwa, baadhi ya watoa huduma hawana ueledi...
Hivi kwanini watu lawama nyingi wanaitupia serikali?
Hivi hatuwezi kuitumia japo hii fursa ya amani kufanya mambo makubwa?
Ukiangalia kongo, Sudan na baadhi ya nchi za Afrika na dunia kiujumla wanatamni sana. Nchi zao japo kidogo zimantain tuu amani. Waweze kufanya mambo mengine.
Ila hii...
Nimekuwa nikifuatilia kwa umakini mkubwa na kufanya tathmini ya hali ya utendaji wa kazi wa watumishi wa serikali katika mikoa ya Tabora, Arusha na Dar es salaam ambapo mitandao ya kijamii inaonyesha namna wakuu wa mikoa wanavyotekeleza majukumu yao ya usimamizi na ufuatiliaji wa shughuli za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.