lbl

RCRD LBL was a website for free, curated, and legal MP3 downloads from emergent artists.
RCRD LBL was launched in 2007 by Josh Deutsch, Peter Rojas and creative director Elliot Aronow, and featured thousands of free singles, remixes, exclusive tracks and rarities from a diverse, handpicked roster of artists. The site served up millions of downloads and plays per month.
As of November 2013, the site has been taken down and there have been no new posts on the site's Facebook or Twitter feeds since May 2013.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    DOKEZO Iinaonekana Tanzania kuna pesa nyingi sana za kudowload LBL wamerudi kivingine wanajiita DBA

    Tanzania njoo na akili yako tu pesa utazikuta nchini huu ni msemo wa wageni. Baada ya kampuni ya ponzi pyramid kuwapiga Watanzania wamekuja kivingine wanajiita DBA, imeanza tarehe 7/3/2025 kwa usajili feki wa AI ikiwa na number za simu za UK. Nadhani kosa lao kuu LBL na FIC hadi kustukiwa na...
  2. Carlos The Jackal

    BRELA wamezifuta Kampuni za LBL, halafu wanaishia kusema Watu wamepigwa. Hela za watu zimepelekwa wapi?

    Kwamba LBL ilikua inahamisha hizo Pesa?. Kwamba hizo Pesa zipo kwenye akaunti za LBL lakini BRELA wameamua kuzifuta Kampuni hizo ,Ili Sasa wao ndio wazishikilie hizo Pesa?
  3. T

    Wabongo huwawezi baada ya kupigwa na LBL nao wameanzisha lbl zao

    Mbongo kwa ubunifu wa uharibifu au fursa humuwezi naona Pana platforms kibao wabongo wameanzisha zenye mfumo wa kuperform task za kuangalia video ili ulipwe kama ilivyokuwa lbl huku wakishawishiwa watu wajiunge. Pigeni pesa at your own risk mwanzoni mwanzoni hela yako ikirudi achana nao na...
  4. Kingsmann

    BRELA: Kalynda ilipewa leseni ya kuuza vifaa vya kielektroniki

    Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imesema leseni ya kampuni iitwayo Kalynda E-Commerce Limited iliyotolewa Juni 21, 2022 ni kwa ajili ya uuzaji wa jumla wa vifaa vya kielektroniki na mawasiliano pamoja na ufanyaji wa biashara ya kiteknolojia ya kimataifa mtandaoni. BRELA imesema...
  5. stabilityman

    Mbona sijaona kiongoz wa sokohuru akikamatwa maana ni muhamasishaji namba 1 wa LBL

    Moja ya watu ambao ni wa kwanza kuifahamu LBL Kupitia wao ni SOKOHURU Kila kukicha alikuwa anaitangaza viongozi wa mikoani wengi wamekamatwa huyu jamaa mbona hakamatwi?
  6. JanguKamaJangu

    Polisi inawakamata Waratibu wa LBL lakini Watu wanaendelea kupigwa hela kwenye mfumo huohuo

    Licha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa tangazo linaloeleza kuwa haihusiki na jambo lolote linalohusu Kampuni inayoitwa Leo Beneath London (LBL) ambayo inavyoonekana kilio chetu ni cha Watu wengi, lakini nimeamua kuandika hapa kwa kuwa najua kuna wenzetu ambao wana msongo wa mawazo...
  7. Magical power

    Walimu hakuna aliyewatuma kuingia kwenye LBL

    Walimu walimu hakuna aliyewatuma kuingia kwenye LBL sasa msimalizie hasira kwa watoto wetu.....waharifuu wakubwa nyie
  8. T

    Jeshi la Police kamateni viongozi wa LBL ofisi zote nchi nzima mikoa yote kabla pesa hazijatoroshwa nchini

    Hawa watu ni wahuni wameshawapiga watz wanataka kusepa na pesa sasa. Meneja wao huo hapa anaitwa Emily yupo Uingereza +44 7429 429168. Ukiangalia list ya makampuni ya Uingereza hii kampuni haipo. Ukiingia google ukasearch scarm company imo so iliwezekanaje hawa wahuni kupewa vibali vya kufanya...
  9. Davidmmarista

    LBL na Miradi Mingine ya Ulaghai: Njia Mpya ya Kula Pesa za Watu?

    Wadau wa JF, Salaam! Hii dunia ni ya ajabu sana. Kuna jamaa anakuambia kuna mti fulani, ukiusogelea na kuuangalia tu kwa dakika chache, unanyesha noti. Wengine wanakuambia kama unataka utajiri, usihangaike sana—jiunge na jukwaa fulani, alika watu, angalia video kadhaa, fanya “tasks” rahisi, na...
  10. T

    Jeshi la polisi Manyara linawashikilia watu 10 wakiwemo Watumishi 9 wa LBL Manyara

    Jeshi la polisi Mkoani Manyara linawashikilia watumiwa 10 kwa makosa mbalimbali ikiwemo utapeli Kwa kutumia kampuni ya kitapeli ijulikanayo kama Manyara LBL Company Limited inayotoa huduma za kuwekeza na kukopesha fedha kinyume cha sheria na kanuni za Benki Kuu ya Tanzania huku mmoja wa...
  11. Valencia_UPV

    LBL hawajawasilisha nyaraka yoyote BoT

    Pamoja na kuwalaghai wanachama wao kuwa wamewasilisha nyaraka zote BoT kwa uhakiki/ usajili . LBL mpaka sasa hawajafanya hivyo. Wanachama jiandaeni kisaikolojia jamaa wanawapuna kindezi dakika za jioooni kwa mgongo wa ku-upgrade
  12. T

    Jeshi la Polisi Morogoro lawakamata maofisa saba wa LBL kwa tuhuma za biashara haramu ya fedha

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watu saba wanaodaiwa kuendesha biashara haramu ya fedha mtandaoni bila kibali cha Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Soma pia: Jeshi la polisi Mbeya limewakamata watu watano kwa kuhusika na mchezo wa upatu wa LBL Watuhumiwa hao ni wawakilishi wa kampuni...
  13. Pdidy

    MNAACHA KUWEKEZA KWA MUNGU MNAKIMBILIA LBL ONEN SASA MTAELEWA SISI WATOA ZAKA NA SADAKA KWANN ATUINIWI

    Toeni zaka kamili Toeni sadaka makanisan na misiikitini Wekezeni ujenzi WA makanisa Wekezeni kwenye shuhuli za makanisa na misikiti Mungu awainue
  14. Mahendeka27

    LBL vs FIC nini kinaendelea

    LBL vs FIC 🤔
  15. Magical power

    MBEYA: JESHI la Polisi mkoani Mbeya, linawashikilia watuhumiwa watano akiwemo Meneja wa Kampuni ya LBL Gerald Masanya ,31.

    MBEYA: JESHI la Polisi mkoani Mbeya, linawashikilia watuhumiwa watano akiwemo Meneja wa Kampuni ya LBL Gerald Masanya ,31, kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya upatu mtandaoni bila kuwa na kibali chochote ambapo ni kinyume na taratibu za kisheria. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu...
  16. The unpaid Seller

    UTAPELI: Hayawi hayawi sasa yamekua: Tayari LBL kimewalamba

    Niliandika hapa uzi mwezi 11 mwaka Jana 2024 nikiwajuza watu juu ya viashiria vya utapeli wa LBL watu wakanipurua kinyama nikaandika tena mwezi wa 1 mwaka huu 2025 kua watu watoe fedha zao Hilo Ponzi scheme linaenda kuanguka nikashambuliwa tena. Haya sasa Kiko wapi ?! Hamuwezi tena kutoa fedha...
  17. Mshangazi dot com

    LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji

    Kwanini watanzania wengi wanatapeliwa na Ponzi schemes kama LBL Tanzania? Nini chanzo cha watu kutokupenda kufanya tafiti na kutafuta taarifa kabla ya kuinvest pesa. Hakuna kampuni inayoitwa LBL Advertising Media LTD ambayo imesajiliwa Tanzania, ila kuna Kampuni yenye jina sawia imesajiliwa...
  18. Mshangazi dot com

    Matapeli wa mitandaoni - LBL Tanzania

    Kwanini watanzania wengi wanatapeliwa na Ponzi schemes kama LBL Tanzania? Nini chanzo cha watu kutokupenda kufanya tafiti na kutafuta taarifa kabla ya kuinvest pesa. Hakuna kampuni inayoitwa LBL Advertising Media LTD ambayo imesajiliwa Tanzania, ila kuna Kampuni yenye jina sawia imesajiliwa...
  19. JOSEPHAT_07

    Je, LBL sio Matapeli kama Matapeli wengine?

    Nikampuni ambayo ukiweka pesa kidogo kuna pesa unalipwa mwaka mzima kilasiku. Kuna video ukazaa unatakiwa uzi view. Ila sijaielewa vizuri. Naomba maelezo kwa mwenye kuijua
Back
Top Bottom