Wadau wa JF, Salaam!
Hii dunia ni ya ajabu sana. Kuna jamaa anakuambia kuna mti fulani, ukiusogelea na kuuangalia tu kwa dakika chache, unanyesha noti. Wengine wanakuambia kama unataka utajiri, usihangaike sana—jiunge na jukwaa fulani, alika watu, angalia video kadhaa, fanya “tasks” rahisi, na...