legacy ya magufuli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 Legacy ya Magufuli ya mwaka 2019 na 2020 kwenye uchaguzi itaendelea kutumika kama kitabu kwa watawala wa CCM

    Mkoa wa Dar es Salaam wenye mitaa 636 wamekata majina ya wagombea wa CHADEMA 571. Wamebaki wagombea 45 tuDar es salaam yenye wajumbe wa Serikali za mitaa 3,822 wamekata majina ya wagombea wa ujumbe kupitia CHADEMA 3711, wamebakia 111 tuWatendaji wa Kata na Mitaa wamepewa maelekezo ya kutowateua...
  2. Mpinga Hayati Magufuli aangua kilio ndani ya treni ya SGR

    Tarehe 4, july, 2024 nikiwa kwenye treni ya umeme (SGR)ya Dar - Morogoro ambapo abiria wanatumia saa moja na dakika 49 tu kufika, hivyo kuokoa muda mwingi wa uzalishaji uliokuwa unapotea barabarani kwenye foleni, kwenye siti pembeni yangu alikaa kijana ambaye kwa muonekano yupo umri wa above 25...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…