Salaam wakuu,
Naomba wakuu mwenye uzoefu na biashara ya vyuma chakavu anieleweshe jinsi ya kupata vibali kimoja baada ya kingine na leseni pamoja na bei zake.
Kwa mfanyabiashara mdogo tu mwenye fremu na mtaji wa laki5 ambaye hasafirishi nje ya mkoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.