leseni ya udereva

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. pombe kali

    Utaratibu mpya wa kuomba leseni ya udereva TRA toeni elimu kuepusha sintofahamu

    Salamu kwanza, kuna utaratibu mpya wa kuomba leseni za udereva ambao nitaelezea kama nilivyoelekezwa, unaingia katika tovuti ta TRA kisha unajisajili kwa kutumia nambari ya utambulisho wa mlipa kodi TIN unategeneza account kwenye portal yao (samahani kwa kuchanganya lugha maana hata bungeni...
  2. chizcom

    Hivi kwa nini kitambulisho cha taifa Tanazania kwa USA ni sawa na leseni ya udereva wakati leseni ya kwao imebeba mambo mengi kuliko sisi

    Leseni ya USA ni kitambulisho cha hapa Tanzania kwa jina ID card kuwa wewe ni Mtanzania. Upande wa wenzetu waliona nini kwao ili.Wajuzi tuelewesheni
  3. aka2030

    KERO Mfumo mpya wa kurenew leseni ya udereva TRA ni sumbufu

    Kama hamkuwa mmejipanga bora mngeacha kwanza Siku 3 server ipo chini Siku 2 mtu hawezi kupokea OTP Mmeleta kero sana
  4. airwing

    Zipi ni taratibu na gharama za kurenew leseni ya udereva iliyopotea

    Habari wanajamvi. Nilikuwa nauliza utaratibu ukoje pamoja na gharama za Kulipia, Viambatana vya kuambatanisha, Ikiwa Una leseni ya udereva ambayo ukomo wake ni 2027 na imepotea.
  5. Azniv Protingas

    Madalali TRA ni wafanyakazi wa TRA au vipi?

    Nimeenda ofisi za TRA kufuatilia leseni ya udereva lakini nilivyofika nimeshtuka kupokelewa na mtu kwenye korido ya ofisi ananiuliza unahitaji nini? Kwa upole nikamjibu nimekuja kukata leseni ya udereva, akaniambia njoo nikusaidie. Tukaingia ndani akaniambia una tin number nikamjibu ninayo...
  6. D

    Chuo cha Udereva.

    Kwema ndgu zangu... Ni ndgu yenu Mmanyanigho hapa, nilipost thread ya kuja dar Sasa Dar nilifika salama, nimehustle mpaka nimepanga chumba maeneo ya uswahilini kidogo ila naishi kibingwa. Hii thread ya leo naomba kujuzwa vyuo vinavyotoa mafunzo ya udereva hasa evening classes maana nna...
  7. J

    Nina TIN Number ambayo sijawahi kuitumia kwa biashara yoyote zaidi ya kupatia leseni ya udereva, Je Tax Clearance nitadaiwa?

    Kama heading inavyojieleza, Tangu nipate TIN Number, Haijawahi kutumika kwa biashara isipokuwa tu ilitumika kipindi nahitaji leseni ya udereva, Je TIN hiyo naweza kuitumia kufungulia biashara sasa? Je katika kupata Tax Clearance kutakuwa na complications zozote? Nawasilisha.
  8. samwel william

    SoC03 Vikwazo kupata Leseni ya Udereva hasa kwa Madaraja ya Class C na E

    Habar wapendwaa, leo nataka nishare na nyie changamoto iliyopo kwa sasa ukitaka kupata leseni ya udereva hasa kwa class C na E, nipasua kichwaaaa. Mimi ni dereva, leseni yangu iliisha muda nilikua nataka kuongeza mdaraja nipate C na hapa nimesoma veta course ya PSV ila balaa mfumo waliouweka...
  9. jaytravo

    Natafuta kazi ya udereva, nina uzoefu wa miaka miwili

    Mimi ni dereva natafuta kazi ya udereva. Nipo Dar Es Salaam, Kijichi Leseni Yangu ni Class C1,E,D. Nina Uzoefu Wa Miaka Miwili Cv (1)Elimu Form 4 cheti (2)Cheti Cha Udereva Umri wangu miaka 26 0756912507
  10. bab-D

    Leseni ya udereva ikiisha muda, ina maana na utaalamu wa kuendesha umeisha?

    Naomba nielimishwe, leseni ya udereva ikiisha muda ulioandikwa inamaanisha na ujuzi unaisha? Kwa nini kama ndiyo hata vyeti vya taaluma basi tuwe tunabadilisha kila baada ya muda fulani. Pia kama Kitambulisho cha NIDA kimefutiwa ukomo basi na leseni ifutiwe. Au ni biashara?
  11. BARD AI

    Ukikosa Bima ya Afya hupati Leseni ya Udereva kuanzia mwaka 2026

    Serikali imesema muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote ukipitishwa na kuwa sheria na kuanza kutumika mwaka huu, mwananchi yoyote ambaye hatakuwa na bima hiyo kuanzia mwaka 2026, hataweza kupata huduma zingine ikiwamo leseni ya udereva. Kauli hiyo imetolewa leo na mjumbe wa sekretatieti ya...
  12. R

    Tukisema tufanye jaribio kwa watu wanaomiliki leseni za udereva, wangapi watapopolewa?

    Ukiuliza watu wanaomiliki leseni za udereva walipata vipi leseni zao, asilimia kubwa watakwambia nilipiga mishe nikapita huku na kule nikapata leseni yangu. Wengi wa madereva hawa wanaomiliki leseni hizi hawajawahi kupata mafunzo rasmi ya udereva, jambo linalochangia kuwa na madereva ambao...
  13. rockrich

    Msaada kuhusu leseni ya udereva iliyokwisha muda wake

    Habari, Naomba msaada kwa wanaoelewa kuhusu mambo haya. Nimekuwa nikiishi nje ya nchi kwa muda sasa nimerud na lesen yangu ya udereva nimekuta tarehe ya ku-expire imeshapita yaani ni takribani miaka 3 tangu imexpire! imeexpire mwez 4/ 2019. Nimeskia skia maneno kuwa kwamba ikipitisha mika...
  14. Mwamuzi wa Tanzania

    Msaada: Naweza kulipia leseni ya Udereva TRA kwa njia ya simu?

    Habari! Nimepoteza leseni ya udereva, nimekamilisha taratibu zote za kupata mpya (renew). Wamenipa kile kikaratasi chenye maelezo mafupi na tin number. Ni lazima kulipia palepale wanapokuambia ukalipie au naweza kulipia kwa njia ya mitandao ya simu? Thanks
Back
Top Bottom