liberia

Liberia ( (listen)), officially the Republic of Liberia, is a country on the West African coast. It is bordered by Sierra Leone to its northwest, Guinea to its north, Ivory Coast to its east, and the Atlantic Ocean to its south-southwest. It covers an area of 111,369 square kilometers (43,000 sq mi) and has a population of around 4,900,000. English is the official language, but over 20 indigenous languages are spoken, representing the numerous ethnic groups who make up more than 95% of the population. The country's capital and largest city is Monrovia.
Liberia began as a settlement of the American Colonization Society (ACS), who believed black people would face better chances for freedom and prosperity in Africa than in the United States. The country declared its independence on July 26, 1847. The U.S. did not recognize Liberia's independence until February 5, 1862, during the American Civil War. Between January 7, 1822, and the American Civil War, more than 15,000 freed and free-born black people who faced legislated limits in the U.S., and 3,198 Afro-Caribbeans, relocated to the settlement. The settlers carried their culture and tradition with them. The Liberian constitution and flag were modeled after those of the U.S. On January 3, 1848, Joseph Jenkins Roberts, a wealthy, free-born African American from Virginia who settled in Liberia, was elected Liberia's first president after the people proclaimed independence.Liberia was the first African republic to proclaim its independence, and is Africa's first and oldest modern republic. It retained its independence during the Scramble for Africa. During World War II, Liberia supported the United States war efforts against Germany and in turn, the U.S. invested in considerable infrastructure in Liberia to help its war effort, which also aided the country in modernizing and improving its major air transportation facilities. In addition, President William Tubman encouraged economic changes. Internationally, Liberia was a founding member of the League of Nations, United Nations, and the Organisation of African Unity.
The Americo-Liberian settlers did not relate well to the indigenous peoples they encountered, especially those in communities of the more isolated "bush". The colonial settlements were raided by the Kru and Grebo from their inland chiefdoms. Americo-Liberians developed as a small elite that held on to political power, and indigenous tribesmen were excluded from birthright citizenship in their own land until 1904, in an echo of the United States' treatment of Native Americans. Americo-Liberians promoted religious organizations to set up missions and schools to educate the indigenous peoples.
In 1980 political tensions from the rule of William R. Tolbert resulted in a military coup during which Tolbert was killed, marking the beginning of years-long political instability. Five years of military rule by the People's Redemption Council and five years of civilian rule by the National Democratic Party of Liberia were followed by the First and Second Liberian Civil Wars. These resulted in the deaths of 250,000 people (about 8% of the population) and the displacement of many more, and shrank Liberia's economy by 90%. A peace agreement in 2003 led to democratic elections in 2005, in which Ellen Johnson Sirleaf was elected President. National infrastructure and basic social services were severely affected by the conflicts, with 83% of the population now living below the international poverty line.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Walinzi wa Rais wa Liberia na maafsa usalama wa Tanzania nusura wazichape, msafara wasimama kwa muda, matangazo yakatwa

    Msafara wa Rais wa Liberia umesimama kwa muda baada ya kutokea purukushani wakati anaingia getini JNICC. Sintofahamu hiyo imetokea au imeletwa na wanausalama wa Tz walipokuwa wanamzuia kuingia ndani yule mpambe wa Rais anayebeba kibegi. Imebidi matangazo yakatwe kwa muda
  2. R

    LIBERIA 1980: Picha hizi zinatia huruma sana, waafrika tu wanyama! Why all this?

    LIBERIA 1980 Cabinet ministers lined up for execution after a coup d'état in Liberia, 1980 A Liberian army soldier stands ready to execute a former cabinet minister following the 1980 coup. The minister in the photo: Cecil Dennis. On April 12, 1980, Samuel Doe led a military coup, killing...
  3. JanguKamaJangu

    Rais wa Liberia apunguza mshahara wake kwa 40%

    Rais Joseph Boakai ametangaza atapunguza mshahara wake kwa Asilimia 40 huku Ofisi yake ikieleza ni sehemu ya kuonesha Utawala Unaowajibika Hivi karibuni Wananchi wengi wamelalamikia kupanda kwa gharama ya maisha Nchini hapo ambapo Kituo cha BBC kimedai takriban Mtu mmoja kati ya Watano anaishi...
  4. R

    Afrika na Uafrika: Nini kiliwafikisha hapa Liberia kufanya unyama huu 1980

    Cabinet ministers lined up for execution after a coup d'état in Liberia, 1980
  5. BARD AI

    Rais wa Liberia aunda Kikosi cha Kudhibiti Rushwa na kurejesha Mali zilizoibwa Serikalini

    LIBERIA: Rais Joseph Boakai ametangaza kuunda Kikosi Kazi kitakachokuwa na jukumu la Kukabiliana na Vitendo vya Rushwa pamoja na kurejesha Mali za Serikali zilizoibwa kifisadi. Kupitia tangazo hilo, Rais Boakai ameagiza Kikosi hicho kumtafuta Afisa wa ngazi yoyote aliyehusika na Rushwa kutoka...
  6. BARD AI

    Liberia: Wananchi Milioni 2.4 kuamua hatma ya Urais wa George Weah leo

    Zoezi hilo linafanyika kwa kukamilisha kipindi cha kwanza cha miaka 6 cha utawala wa aliyewahi kuwa Mwanasoka Bora wa Dunia wa FIFA mwaka 1995, George Weah ambaye aliingia Madarakani mwaka 2017. George Weah anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Wagombea Urais 19 akiwemo aliyewahi kuwa Makamu...
  7. GoldDhahabu

    Kwanini Iran imezipita Ethiopia na Liberia?

    Zote, hasa Ethiopia na Iran, ni nchi kongwe. Zimekuwepo tokea kipindi Biblia inaandikwa. Nchi zote tatu hazikuwahi kutawaliwa na Wazungu. Lakini Iran imezipita zote kwa mambo mengi. Kwa ubabe, imo! Inatunishiana misuli na mataifa makubwa kama Israel na Marekani. Kama ni nguvu ya kiuchumi...
  8. Lady Whistledown

    Liberia: Waziri wa Sheria alaani kuachiliwa huru kwa Watuhumiwa 4 waliokamatwa na Kilo 500 za Cocaine

    Katika hali isiyo ya kawaida Mahakama nchini humo imewaachia huru washukiwa hao kutoka Liberia, Ureno, Lebanon, na Guinea-Bissau baada ya kukamatwa na kontena lenye zaidi ya kilo 500 za Cocaine, zenye thamani ya takriban Tsh. Bilioni 236.4 Waziri wa Sheria nchini humo, Frank Musah Dean Jr...
  9. JanguKamaJangu

    Liberia: Wafanya maandamano kumpinga Rais George Weah

    Zaidi ya watu mia moja wamefanya maandamano hayo katika Mji wa Monrovia, yakiratibiwa na muungano wa vyama vya upinzani wakilalamika kupanda kwa bei ya vitu na uhaba wa mahitaji ya msingi. Waandamanaji wanaamini uamuzi huo utatuma ujumbe katika jumuia za kimataifa kuwa wamechoshwa na...
  10. Lady Whistledown

    Liberia yaiomba Oman kusitisha utoaji wa Viza za Kazi za Nyumbani kwa Raia wake

    Serikali ya #Liberia imeiomba Oman kusitisha mara moja utoaji wa viza kwa raia wake kwa ajili ya ajira za nyumbani baada ya kundi la wanawake ambao tayari wako nchini humo kutuma picha zilizoashiria aina tofauti za unyanyasaji ikiwemo kubakwa na kufanyiwa ukatili na waajiri wao Afisa wa...
  11. R

    Jamani hili huko Liberia lilitokana na nini? Picha inatisha kidogo

    Ilitokana na nini? Cabinet ministers lined up for execution after a coup d'état in Liberia, 1980 A Liberian army soldier stands ready to execute a former cabinet minister following the 1980 coup. The minister in the photo: Cecil Dennis. The 66-year old president was savagely murdered by...
  12. Lady Whistledown

    Rais wa Liberia awasimamisha Kazi maafisa 3 wa Serikali baada ya Kuwekewa Vikwazo na Marekani kwa ufisadi

    Rais George Weah amewasimamisha kazi maafisa watatu baada ya serikali ya Marekani kutangaza kuwawekea vikwazo kwa madai ya Rushwa na Ufisadi wa mali za Umma Maafisa hao ni pamoja na Nathaniel McGill, Waziri wa nchi na Mkuu wa wafanyakazi wa Rais, anashutumiwa kwa kutishia wapinzani wa kisiasa...
  13. Gordian Anduru

    Jinsi Rais wa zamani wa Liberia, Ellen Johnson alivyomuelezea Rais Samia Suluhu kwenye gazeti la Time

    BY ELLEN JOHNSON SIRLEAF MAY 23, 2022 6:06 AM EDT President Samia Suluhu Hassan took office in March 2021, and her leadership has been a tonic. That year has made a big difference to Tanzania. A door has opened for dialogue between political rivals, steps have been taken to rebuild trust in...
  14. Kasomi

    Mfahamu Charles Dunbar Rais wa 17 wa Liberia aliyeshinda Uchaguzi kwa udanganyifu wa viwango vya Juu katika historia

    Charles Dunbar Burgess King alikuwa rais wa 17 wa nchini Liberia aliyeshinda kwa kura za udanganyifu zaidi pia alikuwa mshiriki wa mkutano wa kwanza wa Pan- Africanism mwaka 1919 mambo ya muhimu yaliyojadiliwa katika mkutano huo yalikuwa ni mapambano ya waafrika dhidi ya utumwa na ukoloni...
  15. beth

    Guinea: Jeshi kuanza kufungua Mipaka

    Jeshi Nchini Guinea limetangaza mchakato wa kufungua taratibu Mipaka na Nchi jirani ambayo baadhi ilifungwa baada ya Rais Alpha Conde kupinduliwa na mingine ilikuwa imefungwa miezi kabla Kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, Rais Conde aliamuru Mipaka ya Senegal, Sierra Leone na Guinea-Bissau...
  16. M

    Hatimaye Raia wa Liberia waukataa Upuuzi wa Rais wao Weah ambao ulitakwa pia Kuigwa na Wanasiasa Wengine wa Afrika

    Liberians rejected a referendum backed by President George Weah to curb the length of presidential terms — a vote that could have helped the former soccer star extend his stay in office Chanzo: Bloomberg Africa Nimeamini kuwa Mwenyezi Mungu ana namna yake ya Kuwaokoa Watu wake katika HATARI...
  17. Miss Zomboko

    Liberia: Wananchi wapiga kura ya maoni kupunguza mihula ya Urais na Ubunge

    Waliberia wanashiriki leo katika zoezi la kura ya maoni kuhusu mpango wa Rais George Weah wa kupunguza mihula ya urais, huku wakosoaji wakihofia kuwa anaweza akayatumia mabadiliko hayo kubakia madarakani. Nguli huyo wa zamani wa kandanda Weah amewaambia wafuasi wake kwamba kubaki na kiongozi...
  18. Sam Gidori

    Charles Taylor ataendelea kutumikia kifungo chake nchini Uingereza

    Mahakama Maalum ya Umoja wa Mataifa inayosikiliza mashtaka dhidi ya rais wa zamani wa Liberia, Charles Taylor imesema kiongozi huyo wa zamani ataendelea kutumikia kifungo chake nchini Uingereza, na si nchini Liberia kama alivyoomba hapo awali kutokana na kigezo cha usalama. Kiongozi huyo wa...
  19. Miss Zomboko

    Liberia kurejesha uchafu wa plastiki nchini Ugiriki

    Takataka za plastiki zisizoweza kuchakatwa tena ambazo ni hatari za mazingira Mamlaka ya Liberia imesema kwamba inarejesha shehena nne nchini Ugiriki zilizojaa tani za mifuko ya plastiki ambayo ni hatari kwa mazingira. Mifuko hiyo ilikuwa imeingizwa nchini humo kimagendo "kwa kisingizio kwamba...
  20. beth

    Ukosefu wa fedha Liberia wakatisha likizo ya Wabunge

    Bunge la Liberia laitishwa kwa dharura Rais George Weah wa Liberia amewaomba Wabunge wa Bunge la nchi hiyo kukatisha likizo yao na kukutana kwa dharura kujadili mambo muhimu yanayolihusu Taifa hilo likiwemo lile linaloelezwa kuwa ni ukosefu wa fedha. Taarifa iliyotolewa na Bunge la Liberia...
Back
Top Bottom