Hata atuoneshe dharau, dogo anaupiga mwingi mbaya. Kila mechi anapasua watu. Leo kapiga kamoja Al Ahly wakishindaa 3 kwa 2 dhidi ya Pyramids.
Akiwa na magoli 14 mwanaume mwamba wa Congo anapekenyua kiatu cha Misri muda si mrefu.
Naamini Pyramids watamheshimu sana Eng. Hersi kama sio kumjengea...