likes

Like for Likes (Korean: 좋아해줘) is a 2016 South Korean romantic comedy film directed by Park Hyun-jin. It was released in South Korea on February 17, 2016 by CJ Entertainment.

View More On Wikipedia.org
  1. Sasa ni muda wa kubadilisha 'likes' kuwa hela

    Nina 'likes' nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii, lakini hizo 'likes' hazinisaidii chochote katika utatuzi wa changamoto zangu za kimaisha. Nini kifanyike ili hizo 'likes' zibadilike na kuwa hela? Mfano mtu aki-'like' mada fulani, akatwe angalau 1000, si tutakuwa matajiri wakuu? Najaribu...
  2. Hivi raraa reree hizi likes unazogawaga uzi mzima unatumia BOT au nini?

    Kuwa off wiki ambazo walevi wenzio ndo wamebananika kazini shida sana. Ngoja nipoteze muda kuongelea hili swala la raraa reree Huyu ndugu yetu ana kiwanda cha likes, hebu nipe siri na mm niwe natoa likes hvo, au jamaa ni BOT?
  3. Watanzania hawapendi elimu uzi wa mambo ya scholarships una likes 9 tu

    Nilianzisha uzi wa kupost fursa zote za Scholarships zinazojitokeza katika link hii: https://www.jamiiforums.com/threads/bonus-orodha-ya-full-funded-scholarship-za-kumalizia-mwaka.2170915/ Siajabu mpaka sasa uzi huu una likes 9 tu. Watanzania wapenda elimu rudini mweke likes kwenye huo uzi...
  4. Likes zako zingekuwa ni pesa zingeweza kununulia kitu gani?

    Humu wapo members Wana likes 1000 ambazo kiuhalisia zingekuwa pesa zingeweza kununulia vocha ya buku. Wengine wana likes mpaka milioni 1 huko ambazo zingeweza kununulia smartphone kali. Mimi likes zangu elfu 20+ ambazo kama zingekuwa pesa ningeweza kununulia hata T-shirt . Wewe je likes zako...
  5. T

    Hii hapa post yenye likes nyingi hapa JF!👇

    wakuu ni aje. Kama kichwa cha habari kinavyojeleza hii ndio post yenye likes nyingi hapa Jf tangu ilipoanzishwa👇 Kama kuna post unahisi ina likes nyingi kuzidi au zinafuatia share hapa
  6. G

    Anayestahili kuomba like ni mwenye Youtube channel, wengine kama hamna cha kuchangia mkae kimya. Acheni kujaza comments za kuomba likes

    Imekuwa too much sasa, video unaicheki youtube unaanza kusoma comments za mrejesho, ushauri, ukosoaji, nyongeza, n.k. Ila unakutana na comments za kuomba likes. Wanakera sana hawa watu Uki comment cha maana utapewa like bila kuomba,
  7. M

    Mashabiki wa Cape Verde toka mwanzo wa Afcon gonga Likes😉

    Nilishatabiri mwamba wa hii Afcon ni Cape Verde. Sasa mtaniamini mtapoona South Africa yule kenge msupport magaidi wakipalestina anakalishwa mpaka anaomba poo pale mtondogoo... Mimi ni Octopus Paul nimemtabiri Cape Verse mechi zote na sijakosea hata moja. Hili kombe linaenda kwa underdog
  8. K

    Hakuna Msanii/Mtanzania yeyote anayemfikia Kili Paul kwa likes na comments Instagram, na wala haringi

    Huyu Mwamba anatisha sana huko Instagram anafikisha likes Milions na Comments nyingi, kuliko kina Diamond na wala haringi, wala Watanzania hawamjui kivile. Big up sana Mwamba kwa ubunifu uliotukuka.
  9. Tupeane LIKES

    Watu wajf mseme mtu vizuri na mpe like yake. Mie ninao wengi nawapa team yote ya JamiiForums heri ya mwaka mpya kuanzia director, manager na wafanyakazi wote wa JF. ERoni , Glenn DeepPond sophy27 Cillah mzabzab Depal Lenie Extrovert Unique Flower Kelsea To yeye Love Doctor Lovelovie Chakorii...
  10. M

    Wazee tunaotumia Infinix tupeane likes kwa kugonga January na mgao wake hatusumbui kabisa

    Hizi ni simu za wazee wa kazi. Hazimalizi chaji hovyo January hata kama aweke mgao mwaka mzima ni kubofya tu kama tunapushi walevi.
  11. B

    Wapi Mzee wa likes mkwepu jr

    huyu mwamba anapenda sana kugonga likes za kutosha humu bila kinyongo, mkuu mkwepu jr hebu gonga like kwanza tuendelee kutambua uwepo wako
  12. Huyu Mkwepu Jr ni nani? Anatoa likes kwenye mada na komenti za kila jukwaa

    Mbona kila komenti na kila jukwaa jamaa anagonga likes? Inawezekanaje mtu akawa amesambaa maeneo yote hayo?
  13. Best Male Likes Giver Award goes to

    mkwepu jr Huyu jamaa azawadiwe hiyo tuzo na atambulike kuwa ndiye memba anaye mwaga likes kuliko members wote humu. Kama unabisha andika jina la memba mwingine ambaye unadhani anamwaga likes kwa kila comment ama thread anayokutana nayo. Weekend njema wote ambao mmeshaanza kulewa. Weekend...
  14. M

    Huko Nigeria watu wamepinda kutafuta likes

    Hii ni hatari watu Sasa hivi wanafanya upuzi kutafuta sifa za kijinga YouTube na TikTok. Kwenye hii video licha ya kuchekesha ingeleta madhara. Angalia nyundo ingemvunia Taya. Ujinga unaochekesha
  15. R

    Naipongeza TCRA kwa kumkomesha Polepole and the Likes: Massage sent!

    Ktk vitu ambavyo intelijensia haijachukulia mzaha ni pamoja na swala la Polepole. Hata kama mlichelewa kumfumba mdomo lakini atleast mmejaribu. Huyu Polepole tungemchekea mwisho wa siku tungevuna mabua Waswahili husema ukimchekea sana Mbwa itakuja siku atakufata msikitini. Haiwezekani mtu...
  16. L

    SoC01 Usilewe Likes na Comments: Simulizi inayoweza kubadili maisha yako kwa zaidi

    SIMULIZI INAYOWEZA KUBADILI MAISHA YAKO KWA ZAIDI YA 79% ▪"Kwa Kweli Mwenyezi Mungu hakukosea Kabisa Kuniumba. Tazama Uso Wangu unavyong'ara, Ngozi Nyororo, Jicho Zuri kuliko la Ray C, Kila Nguo inanikubali hata nikivaa Gunia na Dekio, hakuna kama Mimi hapa Mtaani na Kule Mtandaoni, Mwonekano...
  17. Hii imekaaje, nakutana sana na likes za makipa wa mpira kwenye picha za mabinti Instagram

    Hapa sizungumzii warembo maarufu kama kina mobeto ambao watu wengi tunawajua, nazungumzia mabinti ambao ni raia wa kawaida tu, followers hata hawazidi elf 1. Wengi ni wadogo wa marafiki zangu ambao nimewafollow ama majirani, marafiki zao, n.k Ni mda mrefu sana nimekuwa nakutana sana na likes...
  18. Mtu anaweza kununua views, comments, likes na subscribers. Zijue sababu na vikwazo

    Nimekuwa nikishangaa sana kiasi kufikia mpaka kuona aibu kwamba naishi na jamii ambayo ipo nyuma sana kwenye maswala ya teknolojia. Haya mambo ya kununua youtube views katika ulmwengu huu yapo tangu zaidi ya miaka 10 lakini inatia aibu kwamba hata baadhi ya wasomi wameuwa wabishi, Watu kununu...
  19. M

    Ni thread gani yenye viewers na likes nyingi?

    Habari Kama naomba tubadili kuhusu Mada apo juu na pia tuingalie kwanini imepata hadhi hiyo. Shukrani
  20. M

    The 7 Signs That Shows That A Girl Likes You

    The 7 Signs That Shows That A Girl Likes You Sometimes a woman likes the signs that you are things she intentionally does and other times they are subconscious. Whether she means to or not, if you ask her out, she will send you pretty clear hints about how she heels about you, and what her...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…