line

Líně is a municipality and village in Plzeň-North District in the Plzeň Region of the Czech Republic. It has about 2,800 inhabitants. Líně lies approximately 11 kilometres (7 mi) south-west of Plzeň and 95 km (59 mi) south-west of Prague.

View More On Wikipedia.org
  1. W

    Nilivyojikuta Kituo cha Polisi baada ya kumsajilia Mtu Line ya simu

    Nakumbuka 2021 kuna mshkaji wangu aliniomba nimsainie line ya simu kwa NIDA yangu kwa sababu alikuwa hana kitambulisho cha Taifa. Basi mimi si nina muamini nikamsajilia kwa wale wakala wanaozungukaga mitaani, kipindi hicho niko Arusha yeye akaenda kufanya mishe zake Morogoro Baada ya miezi...
  2. Natafuta Line za mabando

    Mabando ya mitandao ya Voda Tigo Airtel Halotel Kama una hizi line weka bei nikucheki
  3. Line za M2M kwa 12K

    .
  4. G

    Nawezaje kutumia line inayotumika kwenye router ya unlimited internet kwenye simu au pocket router?

    Hizi router zimekuwa mzigo kubeba, nimemiss kutembea na pocket router inayobebeka mfukoni Mwanzoni nilidhani line imefungiwa kusoma kwenye imei moja tu lakini nimetest kwenye router kama yangu ya mtu mwengine inakubali. Nimetesti kwenye pocket router matoleo mawili tofauti, mtandao unaofanana...
  5. A

    Nakodisha Line za uwakala wa mitandao ya simu

    Nilikuwa na ofisi yangu ya Uwakala wa fedha kwa mitandao ya simu lakin bahati mbaya nimefulia na line zipo ila sizifanyii kazi. Kiukweli sina mpango wa kuzitumia hizi line tena. Kama unazihitaji tunaweza kuingia makubaliano/Mkataba ili kuwe na usalama kwako na kwangu pia. Line nilizonazo ni...
  6. TIGO sasa ile laki 8 yenu ya nivushe plus tumemalizana kiaina. Ngoja nisajili line ya YAS

    Mliposikia Mh. Lissu Rais ajaye wa Tanzania kufungua kesi ng'ambo nanyi mkajiona wajanja mkabadili jina la kampuni. Sidhani kama mnaweza kuwakimbia wanasheria wabobezi kwa namna hiyo. Ok yote kwa yote na Mimi laki 8 yenu napita nayo shwaah. Siwezi kumlipa YAS, Mimi simfahamu
  7. Tanesco muwe na line zenu za simu kwa ajili ya LUKU. Mitandao inatutesa

    Hali ni mbaya sana sasa hivi kwa mitandao ya simu kuhusu swala la kununua umeme kupitia simi za viganjani. Imagine unanunua umeme kupitia twigoopesa unakaa masaa matatu hakuna token na giza linaingia ukipiga simuzao zinakatwa hakuna majibu. Kwanini nyie Tanesco msiwe na line zenu za simcard...
  8. Komandoo Ahmaz wa Hezbollah Navy aliyekamatwa na Israel akutwa na line ya simu ya tiGO

    srael has confirmed its involvement in the abduction of Lebanese national Imad Amhaz. The Israeli Army Radio reported that the operation was planned well in advance, awaiting the right moment for execution. For Tel Aviv, Amhaz is linked to the smuggling of naval weapons from Iran through Syria...
  9. Hiphop punch line

    "Unamuona mlupo kisa ulimgonga kwa mshiko, Anakuomba madusko anahonga batonga anagonga vitu, Unamuita darling au wife mama mamito, Unapata habari za wanafiki kuna walafi wanamla hadi jicho Unaemtaka haumpati utampata wapi,Anaekutaka hautaki haumpi nafasi....” #fidQ #ulimimbili shuka na yako...
  10. Line za uwakala

    Kama wahitaji laini za uwakala..unapata 4 ukiwa na laki 3 Vigezo ni Tin Number na Kitambulisho cha NIDA Napatikana Ubungo Kwa mawasiliano 0656652250
  11. NAUZA LINE ZA UWAKALA WA MIAMALA YA FEDHA

    Wahi offer Laini za wakala zimebaki mbili ni full documented na tunaandikishana, ikiwezekana twende kuchange usajili Imebaki Halo pesa na Airtel money, Zote nataka 90K Karibu Dm
  12. L

    Anayeuza line ya safaricom

    Natafuta line ya safaricom ambayo inafanya kazi upande wa mpesa hata kama imewahi kuungwa paypal. Mwenye nayo akiwa dar anauza naomba ani PM
  13. Tuko kanisani tunaandika majina ya maaduui zetu wachomwe moto tuma majina ya maaduiwasiwe mke ama mumeo la

    NIMEKUJA KWENYE IBADA MOJA HUKU BANANA TUKO SEHEMU YA KUANDIKA MAADUI ZETU TUWAOMBEE WACHOMWE MOTO WALE WALIOKUTESA WANAOKUTESA MAKAZINI WANAOTESA NDOA ZAKO BIASHARA ZAKO AFYA ZAKO VIPATO VYAKO WEKA HAPAA NIWAANDIKE MUNGU ANASEMA ANAKWENDA KUPANDANA NA ADUI ZETU WANAOKUFANYA USISHIKE HELA...
  14. Nina Halotel CUG Line, nawezaje nunua vifurushi vya kawaida?

    Wakuu husikeni na kichwa hapo juu. Naomba muongozo wenu.
  15. T

    Kujua mtu aliyekupigia kwenye Line ya Tigo kama haukuwa hewani

    Wakuu nahitaji Kujua Kama kuna namna ya kuset ili Kujua mtu aliyejaribu kukupigia wakati haupo hewani kwenye mtandao wa tigo
  16. D

    Line za MTN zinapatikana wapi kwa Dar es Salaam?

    Nawezaje kupata kwa hapa Dar line za MTN for Rwanda, msaada
  17. Ibra Line kusaidia wahanga wa mafuriko Moshi

    Mfanyabiashara maarufu mjini Moshi, Ibrahim Shayo 'ibra Line', ameguswa na mafuriko yaliyosababisha athari kubwa kwa wananchi wa Kata za mji mpya na Msaranga na kuahidi kuwasaidia vifaa mbalimbali ikiwamo mashuka na magodoro. Usiku wa kuamkia Leo mvua kubwa iliyonyesha imeziacha familia nyingi...
  18. J

    Phone4Sale Nokia 105 tochi elfu 28

    Nauza simu Nokia 105 mpya Zipo kwenye box kuna rangi nyeusi, bluu na pink Zinaingia line mbili Karibuni sana Mawasiliano 0717 592 165
  19. Nyumba moja kuwa na meter kumi za LUKU haina maana, Napendekeza LUKU moja iwe na line nyingi kama simu

    Ni kwamba meter moja ya umeme iwe na uwezo wa kulisha nyumba hadi 6 bila kuchangiana kwenye matumizi. Mteja akiomba meter, atasema anataka yenye output ngapi (line 1, 2 ,3, 4, 5 au 6) kulingana na matarajio yake ya kuongeza matumizi ya wapangaji au fremu za maduka baadae. Kwahiyo meter...
  20. Kuna tofauti kati ya VAR na Goal Line Technology

    Michuano ya CCL hawatumii Goal line technology ambayo ingemaliza huu utata CCL wanatumia VAR peke yake kusaidia kutoa maamuzi Angalia Goal line technology ilivyotumika kwenye hii video fupi hapo chini Utaona ni jinsi gani mpira unatakiwa uwe umeingia kwa asilimia 100 ili kuhesabika goli So...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…