Habari ya wakati huu wadau wa taknolojia. Nina shida na pixel 3xl yangu, nilikua naitumia Vizuri ghafla ikaniandikia there is no sim card though nimeweka sim card, nikarajibu kutoa Line na kuweka, kubadilisha line, kureboot, kureset network settings lakin haijasaidia shida bado Iko. Naombeni...