Lingchi (凌遲), ilikuwa mfumo wa mateso na adhabu ya kifo iliokuwa ikitekelezwa huko China kutokea miaka ya ya 900 hadi kupigwa marufuku 1905.
Katika adhabu hii kisu kilitumika kuchumoa kiungo kimoja kimoja hadi pale mtu atapokuwa amekufa ndio hatua inakuwa imeisha.
Na hawa watekelezaji wa...