lionel atteba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pdidy

    Mchezaji wa Namungo amesema maelezo baaada ya kadi nyekundu Ateba alisema hajamfanyia kitu

    Huyu kaka amelaani vikali. Ameshauri watanzania kutafuta kazi nyingine hizi za mpira sio kazi kabisa. Amehojiwa na redio na amejibu hawezi sema kitu ila anaomba aeleze kidogo alishangaa redkad akamwomba capt akaulize kwa refa. Akamfwata ateba kumuulixa kamfanyajr akamjibu hajamfanyia kitu...
  2. Majok majok

    Simba mnajipiga risasi wenyewe na zitawaua wenyewe, huyo Lionel Atteba mnayetaka kumsajili rekodi zake hivi karibuni mmezifatilia?

    Sielewi Hawa viongozi wa Simba wanakuwa wanafikiria nini vichwani mwao lakini nahisi pale Simba bado Kuna viongozi wapigaji sana! Uyu jamaa anayetaka kusajiliwa Kama mshambuliaji ni mzigo mwingine unaenda kuletwa pale, ukiona vilabu vya kaskazini vinamuachia mchezaji kirahisi rahisi tu ujue...
Back
Top Bottom