Huyu kaka amelaani vikali.
Ameshauri watanzania kutafuta kazi nyingine hizi za mpira sio kazi kabisa.
Amehojiwa na redio na amejibu hawezi sema kitu ila anaomba aeleze kidogo alishangaa redkad akamwomba capt akaulize kwa refa.
Akamfwata ateba kumuulixa kamfanyajr akamjibu hajamfanyia kitu...
Sielewi Hawa viongozi wa Simba wanakuwa wanafikiria nini vichwani mwao lakini nahisi pale Simba bado Kuna viongozi wapigaji sana!
Uyu jamaa anayetaka kusajiliwa Kama mshambuliaji ni mzigo mwingine unaenda kuletwa pale, ukiona vilabu vya kaskazini vinamuachia mchezaji kirahisi rahisi tu ujue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.