Huyu kaka amelaani vikali.
Ameshauri watanzania kutafuta kazi nyingine hizi za mpira sio kazi kabisa.
Amehojiwa na redio na amejibu hawezi sema kitu ila anaomba aeleze kidogo alishangaa redkad akamwomba capt akaulize kwa refa.
Akamfwata ateba kumuulixa kamfanyajr akamjibu hajamfanyia kitu...