Ningbo Lishe International Airport (IATA: NGB, ICAO: ZSNB) is the principal airport serving Ningbo, a major city in the Yangtze River Delta region and the second largest city in Zhejiang Province, China.
In 2013, the airport handled 5.4 million passengers, ranking 36th in China. It was the 29th busiest airport in China in cargo traffic in 2012.
Shule hii ilijengwa ama ilianzishwa na rais john pombe magufuli ! Ni shule iliyobeba wanafunzi wenye ulemavu mchanganyiko ! Ukipata bahati ya kuitembelea unaweza kuangua kilio kulingana na Hali ya wanafunzi ilivyo ! Wako wasio sikia viziwi)wasioona vipofu) walemavu wa viungo wanaotembea kwa...
Wadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
Hata sisi wazazi wao tulifeli siyo kwa kukosa akili bali tulikosa wanayopata Watoto wetu.
Dominika njema
Understanding the Role of Clinical Dietitians in Patient Care
Dear Medical Doctors, Nurses & Allied Health professionals.
Heri ya xmass & mwaka mpya!
Introduction
We value your dedication to providing comprehensive patient care. As clinical dietitians, We play a crucial role in supporting...
Vijana wanajifariji eeeh maisha popote ilimradi mkono uende kinywani.
Kijana bila aibu na kimeza chake cha matunda anasema Mimi nina degree. Are you mad?
Kama ungetaka kuwa muuza matunda ungeishia DARASA la kwanza tu au la pili.
Hesabu za darasa la pili zinatosha kwa mfanyabiashara wa matunda...
Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mohamed Hassan Moyo amegawa mahitaji ya mapishi kwa vitendo kwa ajili siku ya Afya na Lishe ya kijiji, hayo ameyafanya Novemba 22, 2024 alipokua katika kikao cha tathimini ya mkataba wa Lishe robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2024/2025.
Mahitaji hayo ni sukari...
Wafanyabiashara wa chakula maarufu kama Mama Lishe wametoa wito kwa wadau wa maendeleo kushirikiana nao katika kutatua changamoto mbalimbali zinazokabili biashara zao, hususan ukosefu wa vifaa vya kisasa na mitaji ya kuimarisha biashara. Wafanyabiashara hao walitoa wito huo kupitia ‘Coca-Cola...
Habari wanajf,
Kula ugali kuna faida kadhaa za kiafya zaidi ya zile nilizozitaja awali:
1. Kontrola ya Uzito: Ugali unaweza kusaidia katika kudhibiti uzito kwa sababu ya ukamilifu wake na uwezo wake wa kutoa hisia za kujaza haraka. Hii inaweza kusaidia kuzuia ulaji wa ziada.
2. Ukolezi Bora...
Tanzania, yenye utajiri mkubwa wa vyanzo vya maji kama mito mikubwa na maziwa, bado inakabiliwa na changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wake. Licha ya rasilimali hizi kubwa za maji, maeneo mengi, hasa vijijini na baadhi ya miji mikubwa, bado yanakabiliwa na uhaba...
Miaka ya huko nyuma kidogo watafiti mlituletea viazi karoti au viazi lishe, viazi hivi vilikuwa vya njano ndani na mlituambia vina ubora mkubwa kwenye lishe kuliko vilivyopo vya asili.
Lakini havikuchukua muda vikatoweka kwenye soko, baada ya kutoweka sijasikia mkijaribu kuvifufua, sijui sababu...
TANZANIA TUITAKAYO NA MFUMO WA MALEZI KATIKA LISHE
Mimi ni mwanachama wa Jamii Forums, Jina langu ni mchechemuzi.
Ushahidi wa tafiti za kisayansi umeonyesha kwamba msingi wa Taifa lolote lile unategemea sana uwekezaji kwa binadamu katika umri wa awali wa maisha ya mwanadamu hususani umri 0 -2...
Tanzanaia tuitakayo Miaka kumi ijayo
Udumavu, au utapiamlo, ni hali inayojitokeza pale ambapo mtoto hupata lishe duni, ambayo inaweza kusababisha kuchelewa kwa ukuaji wa mwili na akili. Chanzo cha udumavu kwa watoto ni mchanganyiko wa mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na upatikanaji duni wa lishe...
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!
Nimekuwa nikiwasikia watu wanaojiita "Madaktari" pamoja na watu wanaojiita "Wataalamu wa lishe" wakizungumza au wakitoa ushauri wa namna ambavyo mtanzania anapaswa kula ili kuyakimbia magonjwa ya FIGO,INI pamoja na KANSA!.
Wataalamu " Uchwara " hao...
Kwa mujibu wa taasisi ya kimarekani ya National Health and Nutrition Examination Survey (NHANES) hadi kufikia mwaka 2016 nchi ya Tanzania ilikuwa ina kiwango cha unene uliopitiliza (Obesity Rate) kwa 8.4% ya idadi ya watu wake. Huku USA ikiwa na 42.1% ya idadi ya watu wake. Hii ni kumaanisha...
Na WAF - DAR ES SALAAM
Waratibu wa Afya ngazi zote wametakiwa kuhakikisha wanasimamia fedha za chanjo na lishe zinazotolewa na Wadau pamoja na Serikali zinafika zinapokusudiwa kwa wakati ili kupunguza tatizo la Ukosefu wa elimu ya lishe na magonjwa ya mlipuko.
Hayo yamesemwa na Naibu katibu...
Utumbo, uwe wa mbuzi au wa ng’ombe kwa asili ni mgumu, hivyo kuhitaji muda wa kutosha wa kupika ili uive.
Baadhi ya watu katika mapishi ya utumbo, hutumia viungo kama vile tangawizi, limao, papai bichi, siki na ajinamoto ili kuufanya uive mapema.
Wapo pia wanaotumia sufuria isiyoruhusu mvuke...
ahukumiwa
bure
chakula
chakula sumu
dawa
gharama
hata
hatari
hospitalini
kifungo
kuchanganya
kunogesha
lishe
magonjwa
mahakama
mama lishe
mapishi
mkaa
mmoja
mtu
mtu mmoja
sumu
supu
utumbo
Maadhimisho ya Siku ya Lishe Kitaifa katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya yamefanyika leo Oktoba 30, 2023 katika Uwanja wa Shule ya Msingi Katumba II , Mgeni Rasmi akiwa Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu.
Haniu amepongeza kwa hatua nzuri ya lishe iliyofikiwa katika Wilaya ya...
Lishe bora kwa mama anayenyonyesha ni muhimu ili:
Kuwa na afya bora kwani humpatia virutubishi vya kutosha kutokana na ongezeko la mahitaji ya virutubishi wakati wa unyonyeshaji
Kuhuwezesha mwili wake kutengeneza na kutoa maziwa ya kutosha kadri mtoto anavyohitaji.
Kuimarisha kingamwili za mama...