lissu ana mvuto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mashamba Makubwa Nalima

    "No Reform, No Election" mbona imewapanikisha watu kibao kuanzia viongozi mpaka wataalam wa siasa,wazee si mnakubalika, au?

    Naona kila mtu kapaniki, watu mlikuwa na matokeo yenu mkononi nini? Fanyeni siasa, si huwa mnajisifu mnakubalika na raia sasa wasiwasi wa nini!!! Iwekwe tume huru pale watu tupige kura. Watu walikuwa wanafanya upinzani kama mtaji tu. Tushachoka maigizo yenu. Hakuna nchi iliyowekeza kwenye...
  2. K

    Pre GE2025 Ushauri kwa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC)

    Ili kuhakikisha uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025 unakuwa HURU na HAKI hakikisheni mnaajiri wahitimu wa Vyuo mbalimbali waliopo mitaani na kamwe ajira hizi zisitolewe kwa Watumishi wa Serikali. Wapinzani wamelalamika sana juu ya mwenendo mzima uliosimamia chaguzi zilizopita kuwa zilikuwa za...
  3. Mashamba Makubwa Nalima

    Lissu Amjibu Wassira

    https://youtu.be/P-e08q4WqDs?si=rhQ1idwPKk3IMKlw
  4. Waufukweni

    Pre GE2025 Tundu Lissu ndiye kiongozi mwenye mvuto zaidi Tanzania, Wananchi wanampenda hata bila kutumia nguvu ya Wasanii/machawa

    Wakuu Kila nikijaribu kufuatilia Siasa za Tanzania kwasasa naona Tundu Lissu, ndiye mtu mwenye mvuto na ushawishi zaidi nchini. Wananchi wanampenda hata bila kutumia nguvu ya Wasanii/machawa. Kiongozi huyo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amejenga sifa ya kuwa kiongozi...
Back
Top Bottom