Tundu Lissu akihutubia katika mkutano wa hadhara jimbo la Singida Magharibi amedai kuwa wanasiasa wanaomiliki timu za mpira wanatakatisha pesa.
“Tunatakiwa tujiulize viongozi wetu wakuu wanamiliki timu za mpira akiwemo Mbunge wenu Mwigulu Nchemba, tunatakiwa tujiulize kuna nini kwenye mpira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.