lissu kuishitaki tigo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Joseph Ludovick

    Vyombo vya Usalama vinaweza kufuatilia mawasiliano kwa kibali halali

    Katika mazingira ya Tanzania ambapo kulishatokea matukio ya kigaidi, kama shambulio la bomu kwenye ubalozi wa Marekani mwaka 1998 na matukio ya vurugu za Kibiti, vyombo vya usalama vya serikali (Intelligence community) vinategemewa kufuatilia mawasiliano ya watu kwa sababu za kiusalama Vyombo...
  2. Nehemia Kilave

    Ijue Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, sheria no. 11 ya mwaka 2022

    Hii ni sheria ya 2022 , lakini ni vyema kujifunza yafuatayo tunavyoelekea kwenye kesi ya Tundu Lissu vs Tigo kama mkusanyaji na mchakataji wa taarifa za Tundu lissu. 1. Kuna Tume ya ulinzi wa Taarifa binafsi 2. Mtu yeyote atakayebaini kuwa mkusanyaji au mchakataji amekiuka misingi ya ulinzi wa...
  3. Valencia_UPV

    Tetesi: Mwabukusi kujumuishwa kwenye jopo la Wanasheria kesi kampuni ya Tigo Mahakamani London

    Mwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi anatajwa kuwepo kwenye timu ya Wanasheria kwenye kesi itakayofunguliwa London dhidi ya Kampuni ya Tigo. Soma Pia: Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka Tundu Lissu kuiburuza Tigo...
  4. F

    Tundu Lissu ni clever but not Intelligent person. Ni Kiongozi mwenye papara sana na hana utulivu kabisa

    Nimemsikiliza Tundu Lissu kwa makini sana! Nina sympathize naye kwa masaibu aliyopata lakini kwenye hili jambo kakurupuka sana! Huwezi shinda vita yoyote ya maana bila mkakati wa maana! (The Art of War by Sun Zu)! Tundu Lissu angejipa muda kwanza na angefuatilia hiyo case ya Uingereza huku...
  5. S

    Katika moja ya hotuba Hayati Magufuli alitamka hadharani kuwa walikuwa wana-track simu za mtu ambaye hakumtaja na alithibitisha walipata nakala

    Wakati watu wanasema tuogope teknolojia, mimi nasema tuogpe "power of nature. Katika vitu ambavyo hufanya kazi beyond human understanding, basi ni hii power of nature. Nimeyasema haya baada ya kuisikiliza tena clip ya Mwendazake na ku-refer haya yanayotokea leo hii. Ni vile tu hakutaja jina la...
Back
Top Bottom