lissu kununuliwa gari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Ikiwa Tundu Lissu ameridhia kununuliwa gari ya kifahari na wananchi. Akiwa Rais atafuta manunuzi ya V8?

    Salaam, Shalom!! Naomba majibu yawe mafupi na yaliyoshiba HOJA, vyama tuweke pembeni. NB: Swali gumu linahitaji jibu gumu! Swali jepesi lijibiwe pia kiuwepesi! Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿 Karibuni 🙏.
  2. Tlaatlaah

    Pre GE2025 Inadaiwa Lissu atanunuliwa gari jipya na CCM

    Licha ya kuomba kuchangiwa kwa hali na mali na waTanzania, kwajili ya kununua gari jipya ya kufanyia shughuli zake binafsi za kisiasa, lakini pia pesa nyingine kwaajili ya matengenezo ya gari lake lililohusuka katika assassination attempt miaka kadhaa iliyopita pita, pamoja na mafuta...
  3. Tulimumu

    Pre GE2025 Lissu na CHADEMA wasikubali kejeli, dhihaka na dharau za kuchangiwa na CCM

    Katibu mkuu wa CCM na anayejiita mchungaji ambaye amehama CHADEMA na kujiunga na CCM kisha kuanza kuishambulia CHADEMA wameanza kumfanyia LIssu na CHADEMA dhihaka, dharau na kejeli kwa kujifanya wanamchangia Lissu kile walichokiita kutwngeneza gari lake. Mimi namshauri Lissu na CHADEMA...
  4. Kifurukutu

    Tumechanga kiasi gani kwaajili ya gari ya Tundu Lissu? Mbona kimya kingi?

    Wakuu, Mwananchi wa kawaida kutoka fyengelezya niliyejitolea kuchanga kiasi kidogo cha pesa ili kufanikisha kununuliwa gari jipya aina ya V8 la kutembelea mheshimiwa Tundu Lissu kwa gharama ya Tsh 300m nina haya ya kuuliza; ° Mpaka sasa imekusanywa kiasi gani? ° Kwanini hatupewi taarifa ya...
Back
Top Bottom