Natanguliza pongezi za dhati kwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Tundu Lissu kwa kuaminiwa na kukabidhiwa Kijiti kuongoza chama kutoka kwa Freeman Mbowe.
Lissu anafahamika kwa harakati zake za kitambo katika kupigania lile analoliamini na kulisimamia.
Katika kampeni zake za kugombea uenyekiti wa...
We kila mkutano wako unashambulia Wabunge mara ulie kuwa kuna watu wanakuwinda mara sijui Mwigulu kafanya hivi, mara umedakia kwa Mpina, wananchi wanataka wakusikie njia mbadala za kukuza uchumi wa nchi.
Je, wewe ukipewa nchi kwa mfano unawezaje kuwaletea wananchi maendeleo?
Tunajua duniani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.