lissu risasi

Tundu Antiphas Mughwai Lissu (born 20 January 1968 in Ikungi district, Singida) is a Tanzanian lawyer, CHADEMA politician and Member of Parliament for Singida East constituency since 2010. He is also the former President of Tanganyika Law Society (TLS), the bar association of Tanzania mainland, and Chief Legal Officer for Tanzanian opposition party CHADEMA.

View More On Wikipedia.org
  1. Kamanda Asiyechoka

    Zitto Kabwe nae ahojiwe na polisi ili genge la wasiojulikana lijulikane, waliompiga Lissu risasi na waliompoteza Ben watajulikana.

    Kama kuna raia mwema alimtonya Zitto juu ya kuchoma shamba lake na nyumba yake kuwa ulikuwa mpango wa lile kundi la wasiojulikana basi sasa ndio kipindi muafaka cha kuwaumbua hawa watu Zitto naye ahojiwe kama Askofu Mwingira ili aweke mambo hadharani maana tuhuma.zao zinafanana kabisa. Huu...
  2. Patrick Girigo

    Septemba 7, 2017 jaribio la mauji ya Tundu Lissu ilikuwa ni siku mbaya

    Ilikuwa majira ya saa 7 mchana, Kanzda ya KATI nikiwa napata chakula cha Mchana na wazee wawili ambao kwa sasa wana miaka 60, wamestaafu KAZI ya serikali, mmoja alikuwa Mchumi na mwenzake alikuwa Mkaguzi wa Ndani; Tukiwa tunafurahia coke baridi, ghafla nikaangalia fb, page ya ITV nikaona habari...
Back
Top Bottom