Huu hapa ni Mkutano wa hadhara kwenye Kijiji cha Kinyeto, Jimbo la Singida Kaskazini, uliofanyika leo saa 3 asubuhi .Ikumbukwe kwamba Lissu amekwisha toa angalizo la kufuatiliwa na kikundi cha Wasiojulikana, ambako tayari kishawashitaki kwa umma.
Pia soma Kuelekea 2025 - Ushauri kwa Tundu...