lissu vs makonda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Carlos The Jackal

    Pre GE2025 Mwanasiasa Pekee wa CCM anayeweza kushindana na Tundu Lissu kwenye nafasi ya Urais ni Paul Makonda

    Hili waweza kulibishia kwakua ni Mbishi tu. Kwenye Siasa, Mvuto ni muhimu sana na huu Mvuto mara nyingi ni wa kuzaliwa. TUNDU LISSU ana Mvuto sana Kwa Gen-Z maana ndio kizazi chenye Elimu inayowatoa Ujinga, na KURA za mijini ambapo wasomi na wale wanaamini CCM imekaa sana madarakani inabidi...
  2. F

    Tundu Lissu ni clever but not Intelligent person. Ni Kiongozi mwenye papara sana na hana utulivu kabisa

    Nimemsikiliza Tundu Lissu kwa makini sana! Nina sympathize naye kwa masaibu aliyopata lakini kwenye hili jambo kakurupuka sana! Huwezi shinda vita yoyote ya maana bila mkakati wa maana! (The Art of War by Sun Zu)! Tundu Lissu angejipa muda kwanza na angefuatilia hiyo case ya Uingereza huku...
Back
Top Bottom