liston katabazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    Hatima juu ya pingamizi TFF dhidi ya Kocha Katabazi kutolewa Septemba 20, 2024

    MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo, Septemba 11, 2024 imesikiliza pingamizi lililowekwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ambalo limeiomba Mahakama kuiondoa kesi hiyo kwa sababu Katiba za TFF, CAF na FIFA zinazuia masuala ya mpira kupelekwa Mahakamani. Kesi hiyo Namba...
  2. Roving Journalist

    Liston Katabazi kuiburuta TFF Mahakamani na kuidai Sh Milioni 700

    Mwanamichezo Liston Katabazi analiburuza mahakamani Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) akilidai shirikisho hilo lililotangaza kumfungia maisha kujihusisha na soka. Kwa mujibu wa Katabazi ameifungulia kesi TFF katika mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam, yenye namba 14708-2024...
Back
Top Bottom