lomalisa

Joyce Lomalisa Mutambala (born 18 June 1993) is a Congolese professional footballer who plays as a defender for Tanzanian Premier League club Young Africans.

View More On Wikipedia.org
  1. UMUGHAKA

    Sababu ya Msingi kuachwa Lomalisa akaletwa Boka ilikuwa ni ipi?

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane! Kabla ya yote nikubali ya kwamba Mimi ni shabiki na mkereketwa wa timu ya Yanga!,hivyo nitakachokiandika hapa kinaihusu timu ya Yanga! Tangu ligi ya NBC imeanza kiukweli binafsi hakuna mechi hata moja kutoka Kwa timu yangu ya Yanga iliyonishawishi na...
  2. Mkalukungone mwamba

    Rasmi Lomalisa amalizana na Yanga anaenda kucheza soka Uarabuni kuanzia msimu ujao

    Beki huyo wa kushoto wa Yanga amemalizana na klabu yake hiyo baada ya kumalizika kwa msimu wa 2023\2024 Ambapo uongozi wa Yanga walitaka kumpa mkataba mpya wa mwaka mmoja lakini Lomalisa aliomba kuondoka klabu hapo nakwenda kutafuta changamoto mpya. Lomalisa ambaye amecheza kwa mafanikio ndani...
Back
Top Bottom