LORD EYES.
Verse ya Msanii lord eyes kutoka kwenye Crew ya "Weusi kampuni" Enzi hizo akiwa bado ni member wa Crew ya " Nako 2 nako " kwenye ngoma ya Hawatuwezi, ni moja kati ya Verse bora za muda wote kwenye muziki wa HipHop Tanzania.
Ipi Verse yako nyingine bora ya HipHop?
"We the champs!
A...
Wadau,
Nianze na motive yangu ya 2022 UTAJIRI NI SIRI NA SIRI NDIO UTAJIRI WENYEWE
Twende madani, mashabiki wazamani wa hip hop wanajua kulikuwa na vikundi vya hip hop matata sana na vilikuwa vina moto na amsha amsha nyingi sana kwa kipindi iko.
Kuna vikundi kama Kikosi cha mizinga chini ya...
Kama kuna kundi lilikuwa linafanya Hip Hop mpaka unatikisa kichwa wakati wa kusikiliza basi ilikuwa Nako2Nako Soldiers na ukisikia jinsi mtu kama Lord Eyes anavyo flow yaani unahisi uko dunia nyingine.
Kwa wapenzi wa Hip Hop ngumu hili kundi lilitubeba sana. Sasa sijui bo.ya gani aliyetoa wazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.