lord eyes

  1. Verse ya Msanii lord eyes kutoka kwenye Crew ya "Weusi

    LORD EYES. Verse ya Msanii lord eyes kutoka kwenye Crew ya "Weusi kampuni" Enzi hizo akiwa bado ni member wa Crew ya " Nako 2 nako " kwenye ngoma ya Hawatuwezi, ni moja kati ya Verse bora za muda wote kwenye muziki wa HipHop Tanzania. Ipi Verse yako nyingine bora ya HipHop? "We the champs! A...
  2. Beef zilizotikisa vikundi vya hip hop kwa enzi zile

    Wadau, Nianze na motive yangu ya 2022 UTAJIRI NI SIRI NA SIRI NDIO UTAJIRI WENYEWE Twende madani, mashabiki wazamani wa hip hop wanajua kulikuwa na vikundi vya hip hop matata sana na vilikuwa vina moto na amsha amsha nyingi sana kwa kipindi iko. Kuna vikundi kama Kikosi cha mizinga chini ya...
  3. Alaaniwe aliyeiua Nako2Nako Soldiers (Lord Eyes, Ibra da Hustler, G Nako, bou Nako) fufueni kundi

    Kama kuna kundi lilikuwa linafanya Hip Hop mpaka unatikisa kichwa wakati wa kusikiliza basi ilikuwa Nako2Nako Soldiers na ukisikia jinsi mtu kama Lord Eyes anavyo flow yaani unahisi uko dunia nyingine. Kwa wapenzi wa Hip Hop ngumu hili kundi lilitubeba sana. Sasa sijui bo.ya gani aliyetoa wazo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…