Mgombea nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Tundu Lissu, jana katika mdahalo uliorushwa na Star TV ukiongozwa na mwandishi wa habari Chief Odemba. Alisema kuwa anaikubali dhambi ya kushiriki kumfanya Lowassa kuwa mgombea wa CHADEMA mwaka 2015.
Maneno hayo yalitokana na swali aliloulizwa na...