An LPG carrier or LPG tanker is a gas carrier/gas tanker ship designed for transporting liquefied petroleum gas (LPG) in bulk.
List of LPG carrier builders:
Jiangnan
Hyundai Mipo
Hyundai Heavy Industries
Kawasaki Shipbuilding Corporation
Mitsubishi Heavy IndustriesSouth Korea, Japan and China are the main countries where LPG tankers are built, with small numbers built in the Netherlands and Bangladesh.
Rais Samia akiweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa LPG Terminal GBP GAS-Tanga, leo tarehe 01 Machi, 2025.
https://www.youtube.com/live/yU7aLIfGklo?si=e92RxILwhAd_xAwv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi...
Tanga: Rais Samia akigawa mitungi ya gesi (LPG) na kuzungumza na wananchi wa Muheza, Tanga Februari 27, 2025.
https://www.youtube.com/live/f7YdbNKOKTs?si=3P4VZ7EdvyNewX9Q
Ester Barua ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Magila iliyopo Muheza mkoani Tanga akiwa kwenye kiti cha Rais Samia...
dkt. samia
dkt. samia suluhu hassan
gesi
jamhuri
jamhuri ya muungano
kuelekea 2025
kuzungumza
lpg
mitungi
mitungi ya gesi
muheza
muungano
rais
rais samia
rais samia muheza
rais samia tanga
rais wa jamhuri
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
tanzania
wananchi
wilaya
ziara za samia
Kuwa Mmojawapo wa Kuchukua Mkopo wa Bilioni 100 kwa ajili ya Kusambaza Nishati Safi ya Kupikia ya gesi
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, ameongoza uzinduzi wa mpango mkubwa wa mikopo ya Shilingi Bilioni 100 kwa ajili ya kusaidia biashara na miradi ya kusambaza Nishati...
Wafanyabiashara wenye kuagiza bidhaa muhimu toka nje tumeona kila wakati wakihujumu mipango ya taifa ya kuzalisha bidhaa hizo nchini. Tumeona kwa mfano wakihujumu uzalishaji wa ngano ili biashara yao na wabia wa nje isife. Tumeona mfano huo kwa uzalishaji wa sukari kila wakati kukiwa na hujuma...
Gesi hii ambayo wanaiita Auto-Gas ndio mixture ya (Butane na Propane au Propane) na ndio huku tunapikia majumbani...; nimetoa hii habari hapa kuonyesha kwamba ni busara kutumia ulichonacho na Algeria hii gesi ndio bei rahisi sana nadhani kuliko sehemu nyingine...
Wamefanikisha hayo kwa kutumia...
Soma hapa:
TPDC surveying LPG piping viability in Dar es Salaam
By Francis Kajubi , The Guardian
Published at 09:14 AM Apr 05 2024
TANZANIA Petroleum Development Corporation (TPDC) in collaboration with TAQA Dalbit Tanzania Limited is conducting a survey on the actual demand for liquefied...
Rostam Azizi na Taifa gas yake wanainvest 200 million dollars LPG facility huko Kenya, swali langu ni kwamba and its rhetorical hizo fedha kazitoa wapi? Isijekuwa ni mambo ya EPA yanajirudia, na kwa nini asijenge Tanzania ?
Unaweza kukuta kabisa amechukiwa mkopo na aliyedhamini huo mkopo ni...
Ndugu yetu Eng.Amos J. Mwansumbule ameandika na kuchapisha kitabu kwaajili ya Wafanyabiashara wa gesi ya kupikia (LPG) hasa hasa Wasambazaji (Dealers) na wanaotaka kufanya biashara hii.
Kitabu hiki kitasaidia kuboresha namna ya kufanya biashara ya LPG ili iwe ya faida, endelevu na salama...
LPG – Operations Supervisor
Puma Energy
Main Purpose:
In collaboration with Finance Stocks Team and Business Support Supply section, we are looking for a high performing individual who will Manage and maintain inventory and supplies by receiving, storing and delivering items as required...
Mwaka jana mwezi wa tano mama yetu kipenzi alifunga safari kwenda huko kwa jirani kufuja pesa za umma kwa kisingizio cha kurudisha demokrasia na uhusiano wa biashara waliodhani uliharibiwa na mtangulizi wake.
Moja ya vitu vilivyotumika kuonesha mafanikio ya ziara hiyo ni Ujenzi wa bomba la gesi...
Mimi ni muuza Gesi za majumbani LPG
Nilikuwa napenda kufahamu namna ya kupata Uwakala wa gesi za kuchomelea (nazikuta sana Gereji za magari) na nyinginezo kama zile (yani Acetlyene, oxygen) na mwenendo mzima wa biashara hyo.
Katika kuangalia nimeona kuna kampuni kama tatu yani TOL, SALAMA na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.