Rais Samia salaam!
Ni furaha kuona umekuja kutembelea mkoa wetu wa Katavi. Furaha imetuelemea tuliposikia kwamba safari yako ni ya kichama zaidi na sio kiserikali ingawa ni vigumu kutofautisha ukiwa na safari ya kichama na Kiserikali kwakuwa mapokezi na mambo ya itifaki ni yaleyale.
Tuachane...