Yaani hata kile cha kuombea maji au kusalimiana au kujitambulisha tu kwa walugha wenzio.
Haya ni matokeo ya fikra na falsafa chanya ya Baba wa Taifa Mwl. Julius K. Nyerere katika kupiga vita na kutokomeza mipaka na ubaguzi wa kikabila nchini.
Kwa mafanikio na matokeo haya, nadhani nia yake hii...
Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama husherehekewa kila mwaka tarehe 21 Februari. Ni siku iliyotambuliwa na Umoja wa Mataifa kukuza utofauti wa lugha na tamaduni na kuhamasisha ufahamu wa urithi wa lugha na tamaduni ulimwenguni kote.
Siku hiyo inakumbuka Maandamano ya Lugha ya Kibengali ya mwaka...
Hongera Hayati JPM Kwa kuweka mbele kipaumbele cha Lugha yako Mama.
Uliwapa Motisha Viongozi wakuu mbalimbali walionyesha uwazi wao na kutumia Lugha yao katika Majukum yao.
Tukaona Mahakama Sasa zinaanza kutoa Hukumu Kwa Lugha Kiswahili ( Kwa msioelewa , Sheria na Mahakama zake, Zina tumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.