lugha mama

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GoldDhahabu

    Mzungu: Ukitaka kumskasirisha Mtanzania, mwambie kajifunza Kiswahili kwa Mkenya!

    Ni kweli Watanzania hukasirika wakiambiwa Wakenya wanakijua Kiswahili kizuri kuwazidi?
  2. Tlaatlaah

    Je, unaweza kuzungumza lugha ya kabila la mzazi/wazazi wako?

    Yaani hata kile cha kuombea maji au kusalimiana au kujitambulisha tu kwa walugha wenzio. Haya ni matokeo ya fikra na falsafa chanya ya Baba wa Taifa Mwl. Julius K. Nyerere katika kupiga vita na kutokomeza mipaka na ubaguzi wa kikabila nchini. Kwa mafanikio na matokeo haya, nadhani nia yake hii...
  3. Robot la Matope

    Abahaya n'Empaya

    TUJIFUNZE KIHAYA SANIFU KATIKA MUKTADHA WA WAZIBA: 1. USISEME: Mjwahuzi yagya aruwanja rwe ndege. SEMA: Mjwahuzi yagya aituriro lye ebiarazi. 2. USISEME: Ompe omwanvuli. SEMA: Ompe ekiziba izoba. 3. Husiseme: Ntugya akikao Sema: Ntugya alukiko. 4. USISEME: Ntulya omuchele SEMA: Ntulya...
  4. Miss Zomboko

    Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama: Unajua kuzungumza Lugha Mama yako? Watoto wako je?

    Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama husherehekewa kila mwaka tarehe 21 Februari. Ni siku iliyotambuliwa na Umoja wa Mataifa kukuza utofauti wa lugha na tamaduni na kuhamasisha ufahamu wa urithi wa lugha na tamaduni ulimwenguni kote. Siku hiyo inakumbuka Maandamano ya Lugha ya Kibengali ya mwaka...
  5. Carlos The Jackal

    Kiswahili, Lugha Mama, Moja ya Tunu ya Taifa, Uzalendo wa kwanza unaanza kwenye Lugha Mama Lugha ya Kiswahili!!

    Hongera Hayati JPM Kwa kuweka mbele kipaumbele cha Lugha yako Mama. Uliwapa Motisha Viongozi wakuu mbalimbali walionyesha uwazi wao na kutumia Lugha yao katika Majukum yao. Tukaona Mahakama Sasa zinaanza kutoa Hukumu Kwa Lugha Kiswahili ( Kwa msioelewa , Sheria na Mahakama zake, Zina tumia...
Back
Top Bottom