lugha ya kiingereza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    Mtoto wa Kike wa Tanga aliyesifiwa kujua Lugha ya Kiingereza kwakuwa kasoma Shule za 'Kata CCM' amewaumbua Wanaomsifia na aliye Ziarani

    Nimemsikia mwenyewe (tena kupitia TBC1 Taarifa ya Habari ya Saa Mbili usiku huu) huyo Msichana akisema kuwa kwa 95% hicho Kiingereza ambacho CCM na Mwenyekiti wake Taifa pamoja na Chawa Gegedu wake wanamsifia na kusema kuwa ni Faida ya Shule za Kata CCM hakujifunzia Shuleni hapo japo alikiri...
  2. Daby

    Tunakikumbatia kiswahili saana. Mkutano mkubwa wa kimataifa watu wanataka kujua nini kinaendelea. Tafuteni wazungumzaji wa lugha ya kiingereza

    Limkutano likubwa mnaweka watangazaji wa TBC wanaowaogopa wageni. Kikeke yupo hapo....Yunusi yupo hapo. Iteni watu wanaoweza kuwahoji wageni wawahoji Marais kadri wanavyoingia nchini. Hii ni fursa ya kujitangaza na kujijengea heshima. Tuchangamke wabongo. Na kesho ndiyo itakuwa aibu kama...
  3. Waufukweni

    Prof. Mkenda akiri msingi dhaifu wa Kiingereza chanzo cha wengi kufeli

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amekiri kuwa msingi dhaifu wa mafunzo ya lugha ya Kiingereza kwa wanafunzi wa sekondari nchini umechangia kwa kiasi kikubwa matokeo mabaya ya wanafunzi waliofanya mtihani wa kidato cha pili mwaka 2024.
  4. Lugano Edom

    Unafahamu kwamba shule mpya za mfumo wa lugha ya Kiingereza za serikali zinafanya vizuri sana kiufaulu ukilinganisha na private?

    Nataka nikujuze kuwa serikali sikivu na utendaji. Imeanzisha shule za msingi zinazotumia lugha ya Kiingereza kufundishia na hata wanafunzi wake wanazungumza kiingereza bila kubabaika. Aloo. Tembelea siku moja shule hizi au mpeleke mwanao ukafaidi matunda ya nchi yako. Je, unazijua ENGLISH...
  5. Pang Fung Mi

    Azam Media aibu tupu. Watangazaji wake lugha ya Kiingereza ni sifuri, wanatia aibu Taifa la Tanzania

    Azam Media mnatia aibu sana, kampuni gani imeshindwa kupata Watangazaji wanaoijua vizuri lugha ya kiingereza? Makocha wa kigeni wanapata taabu sana kusikia na kuelewa kinachosemwa ama kutamkwa na Watangazaji wa Azam Media. Hii ni aibu, kampuni imejaa watu waliokimbia shule.
  6. D

    Kama hujui kingereza si bora uaache?

    Nimemsikia mkuu wa mkoa wa Mbeya Juma Hingera akiwa anaongea leo kuhusu vibali vya kuuza mahindi nje ya nchi nikitaka nimeona aibu mimi. Amesema eti hivyo vibali ni Null and valid" badala ya kusem Null and void.
  7. ChoiceVariable

    Walimu wa Tanzania jifunzeni Kiingereza na Kiswahili mpate kazi nje ya nchi. Walimu wa Kenya wapata mchongo Marekani

    My Take: Kinachowaangusha Watanzania ni Lugha ya Kingereza. ======= First Batch of Kenyan Teachers Exported to the US The Kenyan Government on Saturday flagged off the first batch of teachers who had secured job opportunities in the United States. This followed a policy and regulatory...
  8. bigamboc7

    SoC04 Lugha ya Kiingereza itumike kufundishia na kujifunza kuanzia awali mpaka chuo kikuu

    Tanzania tuitakayo lazima iwe na raia walio wengi Kwa ulimwengu wa sasa ambao angalau wawe na uwezo wa kutumia lugha za kimataifa angalau hata lugha moja ambayo itawawezesha kujiimarisha kiuchumi(Biashara za kimataifa), kisiasa (kitaifa na kimataifa), Sayansi na tekinoogia ( ambayo sasa Dunia...
Back
Top Bottom