Kiswahili na Kiingereza, ni lugha mbili ambazo zipo kwenye mitaala ya elimu yetu nchini, lakini asilimia zaidi ya 80 ya watanzania hawajui lugha zote mbili Kwa ufasaha.
Au hata lugha Moja tu kwa ufasaha na usahihi.
Ni kwa sababu ya uwepo wa lugha mbili ambazo, hupokezana na huingiliana kwenye...