lugha za matusi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Wauguzi wa Kliniki ya Afya ya Uzazi Hospitali ya wilaya Mbozi wanatudhalilisha

    Wahudumu wa uzazi katika hospitali ya wilaya ya Mbozi, kliniki ya uzazi wanatoa lugha ya matusi sana, udhalilishaji kwa wanawake, mfano mwanamke asipokuja na dela hutukanwa, hufukuzwa mpaka aje na dela. Tafadhali naomba msaada wa kuposti hii ili waweze kuchukuliwa hatua
  2. Idd Ninga

    BahariPesa: Matumizi Mabaya ya Taarifa za Watu na Lugha za Matusi

    Kwa muda mrefu sasa,Kampuni ya Ukopeshaji Pesa ya Mtandaoni ijulikanayo kama BahariPesa imekuwa na Tabia ya Kutoa siri za wateja wao hasa wale wanaodaiwa na kutuma taarifa zao kupitia namba za watu wengine bila kuwahusisha watu hao pindi wanapotumiwa taarifa hizo. Pamoja na BahariPesa licha ya...
Back
Top Bottom