luhaga na lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dialogist

    Tetesi: Luhaga Mpina kupewa nafasi iliyoachwa na Lissu kwenye kamati Kuu ya CHADEMA

    Wakuu hamjamboni nyote... Nadhani wote mnamfatilia Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa na Kada Kindakindaki wa Chama Cha Mapinduzi, Namna anavyozungumzia uongozi uliopo wa CCM na serikali kwa mtazamo hasi. Kwa namna na minajili hiyo na kwa mfumo wa CCM ni wazi hataweza kukubalika kuendelea na...
  2. S

    Luhaga Mpina na Tundu Lissu, msiishie kwenye sukari tu, bali chunguzeni na biashara ya kukopesha mitandaoni

    Hakika nawaambieni, hii biashara haramu ya kukopesha mitandaoni kwa riba kubwa tena kwa kutumia mitandao ya simu ya humu nchini pasipo wahusika kukamatwa, ni biashara ya vigogo kama ilivyo biashara ya kuagiza sukari. Kama unabisha, wewe tengeneza App zako na uzitumie kufanya biashara haramu...
Back
Top Bottom