luhanga mpina

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fortilo

    Pre GE2025 2025 CHADEMA kumsimamisha Luhanga Mpina?

    Kuna mbughi inaenda kuchezwa hapo July - Oct 2025. Nchi inaenda kusimama kushuhudia kimbembe. Wambea wa baa ile wanasema TL anamkabidhi kijana wa Kisukuma mwenye ushawish Lake zone kupeperusha bendera yao. Hii siasa imeka mkao wa kibabe sana ukizingatia Mpina ni Team JPM damu damu. Bado...
  2. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Luhaga Mpina: Baadhi ya Viongozi wa Serikali wanahusika kutorosha fedha

    Kivumbi tu! Kutoka kwa Mpina, anaendelea kutapika nyongo haswa Ila huyu jamaa ni tofauti sana na wanaCCM wengine yani aogopi kupiga panapo stahili ================ Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, amesema Tanzania inakabiliwa na changamoto kubwa ya utakatishaji wa fedha haramu, hali...
  3. USSR

    Maswali 2 ya Luhanga Mpina kwa Raisi Samia

    1. Unarudisha hudumu ngorongoro bila kumwajibisha aliyeziondoa? 2.Unsasfirisha mwili wa kijana wa aliyeuwawa bila kumwajibisha alimuuwa ? USSR
  4. Z

    Luhanga Mpina hana maslahi anayowapigania Watanzania zaidi ya mabifu yake binafsi

    MATENDO NA TABIA za Bwana Luhanga Mpina ni kama mbwa mzee ambaye amejichokea kuishi sasa anatafuta sababu za kufa ndiyo maana anajilaza barabarani kila mara ili magari yamkanyage afe lakini yanamkwepa ndiyo maana haachi kubwekabweka kila dakika. Luhanga Mpina ni moja ya mawaziri wa hovyo sana...
  5. BLACK MOVEMENT

    Mpina na watu wengine wenye kariba kama yake wasisumbuke, ni bora wakae kimya

    Mpina hana Back up laiti angezaliwa Kenya angekuwa na kundi la watu milion 1 nyuma yake hao ni active, Kwa Bongo Mpina yuko mwenyewe sana sana ana Keybord Worrior nyuma yake wengi sana kama milion 3 hivi. Ushauri wangu kwa Mpina na watu wengine wenye kariba kama yake wasisumbuke, kutetea Maiti...
  6. GENTAMYCINE

    Mpina nakuonya usitafute sifa kwa Watanzania kwani wengiwao ni wanafiki na waongo, baadaye watakucheka

    Ushauri wangu Kwako endelea na Ubunge wako, piga Hela, Wekeza, ukipata nafasi ya Kuiba Iba au Piga Dili ili baadae Wewe na Familia yako mje kuishi vyema. Watanzania hawabebeki na hasa hawa ambao leo unaona wanajifanya Kukupa Sapoti ni Wanafiki, Waongo na Waoga yakikukuta watakugeuka na...
  7. K

    Pre GE2025 Luhanga Mpina anatengenezwa kama Hayati Membe akawe Mpinzani?

    Huu unaweza kuwa ule mchezo wa kujifanya amefukuzwa chama ili akawe mpinzani fake kama Membe. Tumeshaiona hii picha🥲
  8. K

    Napendekeza Waziri Bashe akae pembeni kwanza ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

    Madudu yaliyoibuliwa na Mpina yanatisha na kutukatisha tamaa na kutowaamini viongozi wetu tuliowachagua ili watatue kero zetu. Tunamtaka kwanza Bashe akae pembeni ili kupisha uchunguzi. Kuendelea kukaa kwenye ile ofisi mimi nitamshangaa sana Mteule wake. PIA SOMA - FULL TEXT: Maelezo ya...
  9. J

    Siasa ni Sayansi, sasa kila Mtanzania anayekunywa Chai anamjua Mpina kama Watumia Umeme walivyomjua Dr Mwakyembe wakati wa Richmond!

    Hata Hayati Magufuli alijulikana sana alipobinafsisha Nyumba za serikali Maneno yakawa mengi na kila mtu akamjua Siasa ni Watu wakujue kwanza iwe kwa wema au ubaya kisha baadae unatenda mema na mema kuelekea Kiti cha enzi Sasa kila mtu anamjua Mpina na ukifika uchaguzi 2030 hatahitaji kutumia...
  10. K

    Luhaga Mpina ni jembe

    Ninakupongeza sana Mhe. Mpina kwa taarifa yako iliyo na ukweli ndani yake na kwa kweli umetufumbua maacho wananchi jinsi tunavyonyonywa na watu wachache wasio waaminifu. (1) Sukari tunayouziwa wachache wameweka chao cha juu Tshs.1,000 kama alivyotamka Tundu Lissu. (2) Kampuni za stationery...
  11. S

    Wananchi tunamsaidiaje Mpina?

    Bila ya kujali itikadi, sote wananchi tuungane katika uzi huu kulaani kwa kauli moja uonevu wa spika dhidi ya Mpina. Shime watanzania kila mtu aandike katika uzi huu maneno yafuatayo: "NASIMAMA NA MPINA", Hii itasaidia kumtia moyo Mpina na kumshinikiza spika Tulia kuachana na njama zake za...
  12. E

    Sakata la Mbunge Mpina na uchambuzi wa ndani zaidi kisiasa na maamuzi ya spika wa bunge Nini hasa bunge litaathiri kwa mzawa huyu

    Na; Bk Leo, Jumanne Juni 18.2024 mapema asubuhi Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson ameagiza Mbunge wa jimbo la Kisesa Mheshimiwa Luhaga Mpina kufikishwa mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kuwasilisha ushahidi...
  13. DR HAYA LAND

    Luhanga Mpina ana impact gani katika bunge au taifa hadi kuwa anatawala headline za JF kila mara

    This guy Luhanga Mpina Ningependa kujua huyu jamaa ana impact gani hadi kila muda atawale humu JF.
Back
Top Bottom