lukuvi

  1. Lukuvi aanika dhuluma maofisa mikopo benki

    Waziri huyo ameeleza jinsi ofisa mikopo wa benki moja jijini Dar es Salaam, alivyojipatia nyumba tano kutokana na kudhulumu wateja. Alikuwa akizungumza jana jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi huduma ya utoaji mikopo ya muda mrefu ya ujenzi wa nyumba inayoitwa ‘Nyanyua Mjengo, inayotolewa...
  2. T

    Mheshimiwa Lukuvi unakwama wapi Rais Magufuli akusaidie?

    Miongoni mwa mawaziri wachapakazi katika serikali ya awamu ya tano, William Lukuvi hana upinzani. Hata kuna wakati Fulani alifikiriwa kustahili kuwa mrithi wa Magufuli au hata uwaziri mkuu. Katika Wizara ya Ardhi amesaidia kutatua matatizl na kero nyingi sana mfano: Migogoro ya ardhi...
  3. Hivi Serikali ya Tanzania kupitia Waziri Lukuvi ina taarifa jinsi ‘Wapangaji‘ wa Nyumba ‘tunavyonyanyaswa‘ na wenye Nyumba?

    Yaani hadi najuta sijui ni kwanini nimekuwa Mpayapaya/ Masikini/ Mbayuwayu hivi kiasi kwamba miaka yangu nenda rudi nashindwa kupata Kipato cha hata Kununua tu ‘ Simenti ‘ mfuko Mmoja ili name nianze Ujenzi wa Kujenga ‘ Kakibanda ‘ Kangu niondokane na ‘ manyanyaso ‘ ya ‘ Kimakusudi ‘ kabisa...
  4. Hivi unapohitaji uthibitisho wa kiwanja inachukua muda gani baada ya malipo mh Lukuvi tunahitaji msaada wako

    Wenye uelewa wa hili swala bahati mbaya niko mbali na mjini mpaka jumatatu. Unapotaka kujua uhalali wa kiwanja cha mtu kuna malipo yanafanyika ili upewe barua. Kiuhalisia wanachukua muda gani maana kuna usanii unatokea mkoa mmoja kaskazini sasa inaenda wiki ya pili na pesa zishalipwa na...
  5. Lukuvi aagiza kufutwa mashamba pori 21

    WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, ameagiza mashamba 24 yaliyoko Kilosa mkoani Morogoro kupelekewa ilani ya kufutwa kutokana na kutoendelezwa Lukuvi alitoa agizo hilo jana wilayani hapa alipozungumza na uongozi wa Wilaya ya Kilosa na watendaji wa ardhi katika wilaya...
  6. E

    Waziri Mh Lukuvi, Kamata kamata ya Wakulima ktk Shamba namba 7 ktk kijiji cha Mambegwa Kilosa inaumiza wakulima

    Ndugu wana bodi Kumekuwa na kamata kamata ya wakulima wanao lima shamba namba 7 ambalo lipo ktk kijiji cha Mambegwa wilaya y Kilosa. Inasemekana kuwa shamba namba saba amepewa muwekezaji mwaka 2015,na amepewa karibia ekari 1300. Cha kushangaza ni kuwa, wakulima wao wanasema waligawiwa mashamba...
  7. M

    Zoezi la Urasimishaji wa Ardhi - namna zuri ya kuliongezea uharaka na ufanisi

    UTANGULIZI: Kwa muda sasa serikali imetangaza kuendelea na zoezi la urasimishaji ardhi kwa maeneo yasiyopimwa (squatters). Kufanikisha hilo, serikali imekuwa ikishirikiana na makampuni binafsi ya ardhi kufanya sehemu kubwa ya kazi hizo. Watu katika kampuni hizo wanalipwa kutoka kwa michango ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…